HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WIMBO WA SULEMANI 1-8
Msichana Mshulami—Mfano Unaofaa Kuigwa
Ni nini kinachomfanya awe mfano bora kwa waabudu wa Yehova?
Kwa hekima alisubiri hadi alipopata upendo wa kweli
Alikataa kuwaruhusu wengine wamshinikize kusitawisha upendo wa kimahaba kumwelekea mtu yeyote tu
Alikuwa mnyenyekevu, mwenye kiasi, na safi kiadili
Alikataa kushawishiwa na dhahabu au maneno ya kumrairai
Jiulize:
‘Ni sifa gani ya msichana Mshulami ninayoweza kujitahidi zaidi kuiga?’