Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Februari uku. 3
  • Mfano wa Ngano na Magugu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mfano wa Ngano na Magugu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Habari Zinazolingana
  • Shamba Lenye Kuzaa Ngano na Magugu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
  • “Waadilifu Watang’aa kwa Uangavu Kama Jua”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • “Tazama! Mimi Nipo Pamoja Nanyi Siku Zote”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Maswali Kutoka Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1985
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Februari uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATHAYO 12-13

Mfano wa Ngano na Magugu

Yesu alitumia mfano wa ngano na magugu kuonyesha jinsi ambavyo angekusanya jamii yote ya ngano kutoka miongoni mwa wanadamu, yaani, Wakristo watiwa-mafuta, na wakati ambapo angewakusanya; kazi ya kupanda ilianza mwaka wa 33 W.K.

Orodha ya mfuatano wa wakati inayoonyesha kupanda, mavuno, na kukusanya ghalani

13:24

‘Mtu alipanda mbegu nzuri katika shamba lake’

  • Mpandaji: Yesu Kristo

  • Mbegu nzuri inapandwa: Wanafunzi wa Yesu wanatiwa mafuta kwa roho takatifu

  • Shamba: Ulimwengu wa wanadamu

13:25

“Watu walipokuwa wamelala usingizi, adui yake akaja na kupanda magugu”

  • Adui: Ibilisi

  • Watu walipokuwa wamelala usingizi: Kifo cha mitume

13:30

“Acheni vikue pamoja mpaka wakati wa mavuno”

  • Ngano: Wakristo watiwa-mafuta

  • Magugu: Wakristo wa uwongo

“Kusanyeni magugu kwanza . . . ; kisha mkusanye ngano”

  • Watumwa/wavunaji: Malaika

  • Magugu Yanakusanywa: Wakristo wa uwongo wanatenganishwa na Wakristo watiwa-mafuta

  • Kukusanya ghalani: Wakristo watiwa-mafuta wanakusanywa katika kutaniko lililorudishwa

Kipindi cha kuvuna kilipoanza, ni nini kilichowatenganisha Wakristo wa kweli na Wakristo wa uwongo?

Mimi ninanufaikaje kwa kuelewa mfano huu?

JE, WAJUA?

Ngano na magugu yakikua pamoja

Magugu yanayotajwa katika mfano huu yanaaminika kuwa mmea fulani wenye sumu ambao unafanana sana na ngano ambayo haijakomaa. Ngano na magugu hayo yanapokua pamoja, mizizi ya magugu hufungamana na ya ngano, na hivyo haiwezekani kung’oa magugu hayo bila kung’oa ngano. Lakini magugu hayo yanapokomaa, yanaweza kutofautishwa kwa urahisi sana na kuondolewa.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki