HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MAMBO YA WALAWI 10-11
Mpende Yehova Kuliko Familia
Ushikamanifu wetu kwa Yehova unaweza kujaribiwa sana mpendwa wetu anapotengwa na ushirika. Kwa msingi wa maagizo ambayo Yehova alimpa Haruni, wale ambao mtu wao wa ukoo ametengwa na ushirika wanapaswa kuacha kushirikiana naye kabisa. Tunapaswa kumpenda Yehova kuliko tunavyowapenda watu wa familia ambao si waaminifu.
Tunapata baraka gani kwa kutii mwongozo wa Yehova kuhusu waliotengwa na ushirika?—1Ko 5:11; 2Yo 10, 11