Februari 1-7
MAMBO YA WALAWI 26-27
Wimbo 89 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Jinsi ya Kupokea Baraka za Yehova”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Law 26:18-33 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwachie kadi ya mawasiliano ya jw.org. (th somo la 11)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 6)
Hotuba: (Dak. 5) w09 8/1 30—Kichwa: Ninapaswa Kutoa Kiasi Gani cha Pesa? (th somo la 16)
MAISHA YA MKRISTO
“Chagua Kumtumikia Yehova”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Barabara Inayoongoza Kwenye Ubatizo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 4 ¶1-9, video ya utangulizi, sanduku 4A
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 2 na Sala