HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Jinsi ya Kupokea Baraka za Yehova
Usiabudu miungu ya ubatili (Law 26:1; w08 4/15 4 ¶8)
Mwabudu Yehova kama anavyoagiza (Law 26:2; it-1 223 ¶3)
Tii amri zake (Law 26:3, 12; w91 3/1 17 ¶10)
Waisraeli ambao walijaribu kutii sheria za Yehova kwa uaminifu walifurahia amani pamoja naye na walipata baraka nyingine nyingi.
Ni mambo gani kati ya yaliyoorodheshwa unayofurahia sasa kwa sababu ya baraka za Yehova?
Ujuzi sahihi wa Biblia
Amani ya akili
Maisha ya familia yenye furaha
Tumaini la wakati ujao