HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Kwa Nini Uridhike na Uwe Mwenye Kiasi?
Nabii wa Mungu alikataa zawadi za Yeroboamu (1Fa 13:7-10; w08 8/15 8 ¶4)
Baadaye nabii wa Mungu alikosa kutii amri ya moja kwa moja kutoka kwa Yehova (1Fa 13:14-19; w08 8/15 11 ¶15)
Kukosa kutii kwa nabii huyo kulimletea msiba (1Fa 13:20-22; w08 8/15 9 ¶10)
Tukiridhika na kumtegemea Yehova tunapofanya maamuzi, tunaweza kuepuka matatizo mengi yasiyoonekana.—1Ti 6:8-10.
JIULIZE: ‘Ninaweza kuonyeshaje kwamba nimeridhika na mahitaji ya msingi maishani? Ninaweza kuonyeshaje kiasi ninapofanya maamuzi?’—Met 3:5; 11:2.