Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Januari uku. 9
  • Yehova Anatusaidia Kukabiliana na Majaribu Yetu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Anatusaidia Kukabiliana na Majaribu Yetu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Kumbuka Kwamba Yehova Ndiye “Mungu Aliye Hai”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2024
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Kamwe Hatuko Peke Yetu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2025
  • Jinsi Yehova Anavyotusaidia Kuvumilia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2025
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Januari uku. 9
Wazazi pamoja na watoto wao wawili wakifurahia mazungumzo na watu wa kutaniko lao kupitia mtandao.

MAISHA YA MKRISTO

Yehova Anatusaidia Kukabiliana na Majaribu Yetu

Katika siku hizi za mwisho, tunakabili majaribu mengi magumu. Nyakati nyingine, huenda tukahisi kwamba tumelemewa na majaribu yetu. Hata hivyo, tukiendelea kumkaribia Yehova, atatusaidia kuvumilia majaribu makali sana. (Isa 43:2, 4) Tunaweza kumkaribiaje Yehova tunapokabili majaribu?

Sala. Tunapommiminia Yehova moyo wetu, anatupa amani ya akili na nguvu za kihisia za kuendelea kuvumilia.​—Flp 4:6, 7; 1Th 5:17.

Mikutano. Sasa kuliko wakati mwingine wowote, tunahitaji chakula cha kiroho na ushirika ambao Yehova anatuandalia kwenye mikutano yetu. (Ebr 10:24, 25) Tunapotayarisha, kuhudhuria, na kushiriki mikutano ya kutaniko, tunatumia kikamili msaada wa roho ya Yehova.​—Ufu 2:29.

Huduma. Itakuwa rahisi zaidi kukazia mambo yanayofaa ikiwa tunafanya yote tuwezayo kuwa na bidii katika huduma. Isitoshe tutaimarisha urafiki wetu na Yehova na wafanyakazi wenzetu pia.​—1Ko 3:5-10.

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA YEHOVA ATAKUTUNZA, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Ni nini kilichomsaidia Malu kumkaribia Yehova alipokabili majaribu?

  • Kama ilivyokuwa kwa Malu, maneno ya Zaburi 34:18 yanaweza kutufariji jinsi gani tunapokabili majaribu?

  • Simulizi la Malu linaonyeshaje kwamba Yehova hutupatia “nguvu zinazopita zile za kawaida” tunapokabili majaribu?​—2Ko 4:7

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki