Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Mei uku. 6
  • Yehova Huwathawabisha Watu Wanaotenda kwa Ujasiri

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Huwathawabisha Watu Wanaotenda kwa Ujasiri
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Kwa Nini Tunapaswa Kumwogopa Yehova?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Ujasiri wa Yehoyada
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Yehoashi Alimwacha Yehova kwa Sababu ya Marafiki Wabaya
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • Mfalme Aliyesahau Shukrani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Mei uku. 6
Picha: 1. Yehoyada na Yehoshabeathi wanambeba kisiri mtoto mchanga Yehoashi ili wamfiche. 2. Kuhani Mkuu Yehoyada anamtawaza kijana Yehoashi kuwa mfalme.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yehova Huwathawabisha Watu Wanaotenda kwa Ujasiri

Yehoshabeathi na Yehoyada mume wake, walimlinda Yehoashi asiuawe na Athalia (2Nya 22:11, 12; w09 4/1 24 ¶1-2)

Kwa ujasiri Yehoyada alichukua hatua na kufanya Yehoashi kuwa mfalme (2Nya 23:1-11, 14, 15; w09 4/1 24 ¶3-5)

Yehoyada alipewa heshima ya pekee ya kuzikwa pamoja na wafalme (2Nya 24:15, 16; it-1 379 ¶5)

JAMBO LA KUTAFAKARI: Ningependa kuonyesha ujasiri zaidi katika sehemu zipi za ibada yangu?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki