JULAI 28–AGOSTI 3
METHALI 24
Wimbo 38 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Jiimarishe ili Ukabiliane na Hali Ngumu
(Dak. 10)
Endelea kupata ujuzi na hekima (Met 24:5; it-2 610 ¶8)
Dumisha ratiba yako ya kiroho, hata unapovunjika moyo (Met 24:10; w09 12/15 18 ¶12-13)
Imani yenye nguvu na upendo wetu kwa Yehova utatusaidia kukabiliana na hali ngumu (Met 24:16; w20.12 15)
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Met 24:27—Methali hii inatufundisha nini? (w09 10/15 12)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Met 24:1-20 (th somo la 11)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 2) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mazungumzo yanaisha kabla hujatoa ushahidi. (lmd somo la 2 jambo kuu la 4)
5. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo la 3 jambo kuu la 4)
6. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA UMMA. Mweleze kuhusu programu yetu ya kujifunza Biblia, na umpe kadi ya mawasiliano ya kujifunza Biblia. (lmd somo la 4 jambo kuu la 3)
7. Hotuba
(Dak. 3) lmd nyongeza A jambo kuu la 11—Kichwa: Mungu Anawasiliana Nasi. (th somo la 6)
Wimbo 99
8. Saidianeni Mnapokabili Hali Ngumu
(Dak. 15) Mazungumzo.
Mlipuko wa ugonjwa, janga la asili, misukosuko ya kijamii, vita, au mateso yanaweza kutokea ghafla. Hali ngumu zinapotokea, ndugu na dada zetu walioathiriwa husaidiana na kutiana moyo. Hata ikiwa hatujaathiriwa moja kwa moja na majanga hayo, tunawahurumia ndugu na dada zetu na tunafanya yote tuwezayo ili kuwasaidia.—1Ko 12:25, 26.
Soma 1 Wafalme 13:6 na Yakobo 5:16b.Kisha waulize wasikilizaji:
Kwa nini sala zinazotolewa na watumishi wa Mungu kwa niaba ya wengine zina nguvu?
Soma Marko 12:42-44 na 2 Wakorintho 8:1-4. Kisha waulize wasikilizaji:
Kwa nini ni vizuri kutoa michango kwa ajili ya kazi ya ulimwenguni pote ili kuwasaidia ndugu na dada wenye uhitaji, hata ikiwa hatuna vitu vingi vya kimwili?
Onyesha VIDEO Kuwaimarisha Akina Ndugu Wakati wa Marufuku. Kisha waulize wasikilizaji:
Akina ndugu walijidhabihu jinsi gani kwa upendo ili kuwasaidia Wakristo wenzao waliokuwa wakiishi Ulaya Mashariki ambako kazi yetu ilikuwa imepigwa marufuku?
Walipokuwa chini ya marufuku, akina ndugu walitii jinsi gani amri ya kukutana pamoja na kutiana moyo?—Ebr 10:24, 25
9. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo la 4-5