Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Julai kur. 11-16
  • Agosti 11-17

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Agosti 11-17
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
mwb25 Julai kur. 11-16

AGOSTI 11-17

METHALI 26

Wimbo 88 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Kaa Mbali na Mtu “Mpumbavu”

(Dak. 10)

Mtu “mpumbavu” hastahili heshima (Met 26:1; it-2 729 ¶6)

Mara nyingi “watu wapumbavu” huhitaji nidhamu kali (Met 26:3; w87 10/1 19 ¶12)

Mtu “mpumbavu” hategemeki (Met 26:6; it-2 191 ¶4)


MAANA: Katika Biblia, neno “mpumbavu” linamfafanua mtu ambaye hakubali sababu na anatenda kwa njia inayopingana na viwango vya Mungu vya mema na mabaya.

Ndugu kijana akiwa shuleni, anaondoka kwa ujasiri wanafunzi wenzake wanapotazama jambo fulani kwenye simu.

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Met 26:​4, 5—Kwa nini tunaweza kusema kwamba methali hizi mbili hazipingani? (it-1 846)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Met 26:​1-20 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Tumia trakti kuanzisha mazungumzo. (lmd somo la 1 jambo kuu la 5)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Endeleza mazungumzo kwa kutumia trakti ambayo ulimwachia mwenye nyumba katika ziara iliyopita. (lmd somo la 7 jambo kuu la 4)

6. Kufanya Wanafunzi

(Dak. 5) Msaidie mwanafunzi wako ajitayarishe kumtolea ushahidi mtu wake wa ukoo. (lmd somo la 11 jambo kuu la 5)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 94

7. “Uwe Mwenye Hekima ili Upate Wokovu” Kupitia Funzo la kibinafsi

(Dak. 15) Mazungumzo.

Mkusanyo wa picha: 1. Dada anajifunza akiwa nyumbani kwake. Video ya lugha ya ishara kutoka kwenye jw.org inacheza kwenye kompyuta yake. 2. Ndugu anasoma kwa kutumia simu yake huku akiwa amevaa vifaa vya kusikilizia masikioni wakati wa mapumziko. 3. Dada wa umri mkubwa akitumia “JW Library” kwenye tablet yake. 4. Mama na mwana wake mdogo wakitumia “JW Library” kwenye tablet wakati wa mkutano wa kutaniko.

Mtume Paulo alimkumbusha Timotheo kuhusu thamani ya maandishi matakatifu aliyojifunza tangu utoto mchanga. Maandishi hayo yalimsaidia Timotheo ‘awe mwenye hekima ili apate wokovu.’ (2Ti 3:15) Ni muhimu kwa kila Mkristo kutenga muda kwa ajili ya kusoma na kujifunza Biblia, kwa sababu kweli za Biblia ni zenye thamani sana. Lakini vipi ikiwa hatufurahii kujifunza?

Soma 1 Petro 2:2. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Je, tunaweza kujifunza kufurahia kusoma Biblia?

  • Tunaweza kufanya nini ili ‘tukuze hamu’ ya kusoma Neno la Mungu?—w18.03 29 ¶6

  • Vifaa vya kielektroni vinavyotolewa na tengenezo vinawezaje kutusaidia kujifunza zaidi tunaposoma Biblia?

Onyesha VIDEO Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo—Mapendekezo ya Kutumia JW Library. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Umenufaikaje kwa kutumia JW Library®?

  • Umefurahia zaidi kutumia mambo gani katika tovuti hiyo?

  • Ni mambo gani ambayo ungependa kujifunza katika tovuti hiyo na kuanza kuyatumia?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) lfb somo la 8-9

Umalizio (Dak 3.) | Wimbo 89 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki