Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb12 uku. 2
  • Andiko la Mwaka wa 2012

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Andiko la Mwaka wa 2012
  • 2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Bado Ukweli Ni Muhimu?
    Habari Zaidi
  • ‘Endelea Kutembea Katika Kweli’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • “Nitatembea Katika Kweli Yako”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
  • Kwa Nini Utafute Kweli?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
Pata Habari Zaidi
2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
yb12 uku. 2

Andiko la Mwaka wa 2012

“Neno Lako Ni Kweli.”—YOHANA 17:17.

Tunashukuru kama nini kwamba Baba yetu wa mbinguni mwenye upendo ametufunulia kweli! Neno lake linatuonyesha njia bora ya maisha na jinsi tunavyoweza kufaidika kikamili maishani. Linatulinda kutokana na mambo ya ubatili na yenye kudhuru, linatukomboa kutokana na utumwa wa mafundisho ya uwongo ya dini, na kutupa amani ya kweli ya akilini. Linatupa kusudi maishani sasa na kutuandalia tumaini zuri la wakati ujao.

Kweli hutuunganisha na mamilioni ya ndugu zetu duniani kote. Muhimu hata zaidi, kweli ya Biblia hutufundisha kumhusu Yehova na kutuonyesha jinsi tunavyoweza kumkaribia. Tusipuuze kamwe kweli ambazo Yehova ametupa. Na tushangilie katika kweli na kuiruhusu ituongoze katika njia zetu zote.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki