Jumla Kuu za 2011
Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 98
Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 236
Idadi ya Makutaniko: 109,403
Waliohudhuria Ukumbusho Ulimwenguni Pote: 19,374,737
Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 11,824
Kilele cha Wahubiri wa Ufalme: 7,659,019
Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 7,395,672
Asilimia ya Ongezeko Kupita 2010: 2.4
Idadi ya Waliobatizwa: 263,131
Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 466,911
Wastani wa Mapainia Kila Mwezi: 895,844
Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 1,707,094,710
Wastani wa Mafunzo ya Biblia Kila Mwezi: 8,490,746
Katika mwaka wa utumishi wa 2011, Mashahidi wa Yehova walitumia zaidi ya dola milioni 173 za Marekani kwa ajili ya mapainia wa pekee, wamishonari, na waangalizi wanaosafiri katika kazi yao ya kuhubiri.
◼ Ulimwenguni pote kuna wahudumu 20,595 waliowekwa rasmi kufanya kazi katika ofisi za tawi. Wote hao ni sehemu ya Kikundi cha Ulimwenguni Pote cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote cha Mashahidi wa Yehova.
[Chati katika ukurasa wa 44-51]
REPOTI YA MWAKA WA UTUMISHI WA 2011 YA MASHAHIDI WA YEHOVA ULIMWENGUNI POTE
(Ona mchapisho)
[Ramani katika ukurasa wa 52-54]
(Ona mchapisho)