Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb16 uku. 8-uku. 9 fu. 1
  • Matukio muhimu ya Mwaka Uliopita

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Matukio muhimu ya Mwaka Uliopita
  • 2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Utaiga Bidii ya Yehova na Yesu Katika Majira Haya ya Ukumbusho?
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Watu Wenye Juhudi ya Kazi Njema
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1975
  • “Wakeni Roho”
    Huduma ya Ufalme—2009
  • Tunahitaji Kudumisha Bidii Katika Huduma
    Huduma ya Ufalme—2007
Pata Habari Zaidi
2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
yb16 uku. 8-uku. 9 fu. 1
Mashahidi wa Yehova wakijenga ofisi ya utafsiri ya Kiaymara huko El Alto, nchini Bolivia

Bolivia: Ujenzi wa ofisi ya utafsiri ya Kiaymara huko El Alto

Matukio muhimu ya mwaka uliopita

ANDIKO la Isaya 9:7 linasema hivi kuhusu yale ambayo Mungu atatimiza kupitia Ufalme wake: “Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.” Vivyo hivyo, Yesu Kristo, Mfalme wa Ufalme huo, alikuwa na bidii kwa ajili ya ibada ya kweli wakati wa huduma yake duniani. (Yohana 2:17) Ripoti ifuatayo inaonyesha jinsi Mashahidi wa Yehova ulimwenguni pote wanavyoiga bidii ya Yehova na Yesu kwa kuwasaidia watu kujua upendo wa Baba yao wa mbinguni.

Wahudhuriaji wakisikiliza programu katika kusanyiko la eneo la Mashahidi wa Yehova huko El Salvador mwaka wa 2015

El Salvador: kusanyiko la eneo la Mashahidi wa Yehova mwaka wa 2015

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki