Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 10
  • Je, Jina la Mungu ni Yesu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Jina la Mungu ni Yesu?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Kumhusu Mungu wa Kweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Je, Unapaswa Kusali kwa Yesu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
  • Mungu Mwana au “Mwana wa Mungu”?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1984
  • Yesu Kristo Ni Nani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 10
Yesu akisali

Je, Jina la Mungu ni Yesu?

Jibu la Biblia

Yesu alijirejezea kuwa “Mwana wa Mungu.” (Yohana 10:36; 11:4) Yesu hakuwahi kamwe kujitambulisha kuwa Mungu Mweza Yote.

Isitoshe, Yesu alisali kwa Mungu. (Mathayo 26:39) Naye alipokuwa akiwafundisha wafuasi wake jinsi ya kusali, Yesu alisema: “Baba yetu uliye mbinguni, jina lako na litakaswe.”—Mathayo 6:9.

Yesu alifunua jina la Mungu aliponukuu sehemu fulani ya kale ya Maandiko na kusema: “Sikiliza, Ee Israeli: Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja.”—Marko 12:29; Kumbukumbu la Torati 6:4.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki