1
Baba na wanawe waasi (1-9)
Yehova anachukia ibada ya kidesturi (10-17)
“Tunyooshe mambo kati yetu” (18-20)
Sayuni litakuwa jiji lenye uaminifu tena (21-31)
2
3
4
5
Wimbo kuhusu shamba la Yehova la mizabibu (1-7)
Ole kwa shamba la Yehova la mizabibu (8-24)
Hasira ya Mungu dhidi ya watu wake (25-30)
6
Maono ya Yehova katika hekalu lake (1-4)
Midomo ya Isaya yasafishwa (5-7)
Isaya atumwa (8-10)
“Ni mpaka lini, Ee Yehova?” (11-13)
7
Ujumbe kwa Mfalme Ahazi (1-9)
Ishara ya Imanueli (10-17)
Matokeo ya kutokuwa waaminifu (18-25)
8
Shambulizi linalokuja la Ashuru (1-8)
Usiogope—“Mungu yuko pamoja nasi!” (9-17)
Isaya na watoto wake ni kama ishara (18)
Tafuteni habari katika sheria, si kwa roho waovu (19-22)
9
10
Mkono wa Mungu dhidi ya Israeli (1-4)
Ashuru—Fimbo ya hasira ya Mungu (5-11)
Ashuru kuadhibiwa (12-19)
Watu waliobaki wa Yakobo watarudi (20-27)
Mungu atahukumu Ashuru (28-34)
11
12
13
14
Waisraeli wataishi katika nchi yao (1, 2)
Dhihaka dhidi ya mfalme wa Babiloni (3-23)
Mkono wa Yehova utamponda Mwashuru (24-27)
Tangazo dhidi ya Ufilisti (28-32)
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
Ole kwa walevi wa Efraimu! (1-6)
Makuhani na manabii wa Yuda wapepesuka (7-13)
“Agano na Kifo” (14-22)
Mfano kuhusu nidhamu ya Yehova yenye hekima (23-29)
29
30
Msaada wa Misri ni bure kabisa (1-7)
Watu wakataa ujumbe wa kinabii (8-14)
Mtakuwa na nguvu mkiendelea kuwa na tumaini (15-17)
Yehova awaonyesha kibali watu wake (18-26)
Yehova atatekeleza hukumu dhidi ya Ashuru (27-33)
31
32
Mfalme na wakuu watatawala kwa haki ya kweli (1-8)
Wanawake wanaopuuza mambo waonywa (9-14)
Kumiminwa kwa roho kwaleta baraka (15-20)
33
34
35
36
37
Hezekia atafuta msaada wa Mungu kupitia Isaya (1-7)
Senakeribu atishia Yerusalemu (8-13)
Sala ya Hezekia (14-20)
Isaya apeleka jibu la Mungu (21-35)
Malaika awaua Waashuru 185,000 (36-38)
38
39
40
41
Mshindi kutoka mashariki (1-7)
Israeli achaguliwa kuwa mtumishi wa Mungu (8-20)
Miungu mingine yajaribiwa (21-29)
42
Mtumishi wa Mungu na kazi yake (1-9)
Wimbo mpya wa kumsifu Yehova (10-17)
Israeli ni kipofu na kiziwi (18-25)
43
Yehova awakusanya tena watu wake (1-7)
Miungu yashtakiwa (8-13)
Waachiliwa huru kutoka Babiloni (14-21)
“Tukutane ili tufanye kesi” (22-28)
44
Baraka kwa watu waliochaguliwa na Mungu (1-5)
Hakuna Mungu ila Yehova (6-8)
Upumbavu wa sanamu zilizotengenezwa na wanadamu (9-20)
Yehova, Mkombozi wa Israeli (21-23)
Ukombozi kupitia Koreshi (24-28)
45
Koreshi atiwa mafuta ili aliteke Babiloni (1-8)
Udongo haupaswi kushindana na Mfinyanzi (9-13)
Mataifa mengine yatambua Israeli (14-17)
Mungu anategemeka katika uumbaji na katika kufunua mambo (18-25)
46
47
48
Watu wa Israeli wakemewa na kusafishwa (1-11)
Yehova atachukua hatua dhidi ya Babiloni (12-16a)
Mafundisho ya Mungu ni yenye faida (16b-19)
“Tokeni Babiloni!” (20-22)
49
50
51
Sayuni larudishwa kuwa kama bustani ya Edeni (1-8)
Faraja kutoka kwa Muumba wa Sayuni mwenye nguvu (9-16)
Kikombe cha ghadhabu ya Yehova (17-23)
52
53
54
55
56
57
Mtu mwadilifu na watu washikamanifu waangamia (1, 2)
Ukahaba wa kiroho wa Israeli wafunuliwa (3-13)
Faraja kwa watu wa hali ya chini (14-21)
58
59
60
61
62
63
64
65
66