Ukurasa wa Pili
Tumaini kwa Wale Wanaougua Yabisi-Kavu 3-12
Mamilioni ya watu—vijana kwa wazee—wanaugua ugonjwa wa yabisi-kavu. Ni nini kinachosababisha ugonjwa huo wenye kulemaza? Kwa nini wagonjwa hao wanaweza kutarajia kupona hatimaye?
Myanmar—“Nchi ya Kidhahabu” 16
Soma na uone ni kwa nini Myanmar inaweza kuitwa Nchi ya Kidhahabu.
Je, Wakristo Wanapaswa Kushiriki Desturi ya Fêng Shui? 22
Watu wengi katika nchi za Magharibi wameanza kupendezwa na desturi ya Mashariki ya fêng shui. Wakristo wanapaswa kuionaje?