Yaliyomo
Machi 2008
Dini ya Kweli—Je, Ni Moja Tu?
Watu wengi wamesema kwamba kuna kweli fulani katika dini zote. Lakini je, zote zinakubaliwa na Mungu? Je, kweli inaweza kupatikana katika dini kadhaa? Yesu alifundisha nini kuhusu jambo hilo?
3 Dini ya Kweli—Je, Ni Moja Tu?
5 Ni Nani Anayepaswa Kuamua Dini ya Kweli?
7 Jinsi ya Kuipata Dini ya Kweli
12 Kuhubiri Habari Njema Katika Nchi za Mbali
16 Kwa Nini Kinaitwa Kisiwa Kikubwa
18 Nyani Walifikaje Gibraltar?
22 Desturi za Kale Katika Mexico ya Leo
24 Nchi Yenye Bafu za Pekee za Maji Moto
26 Je, Ni Kazi ya Ubuni? Jicho Lenye Lenzi Nyingi
31 Ungejibuje?
32 Tukio Muhimu Zaidi Katika Historia
Je, Kuna Upatano Kati ya Ushirikina na Mafundisho ya Biblia? 10
Wakristo wa mapema walionaje ushirikina? Mtu anawezaje kuacha kuuamini?
Kuna Ubaya Gani Kutumia Matusi? 19
Matusi huonyesha nini kumhusu mtu? Yana madhara gani? Unaweza kuyaepukaje?