Yaliyomo
Juni 2009
Kutoa Mimba—Kwa Nini ni Suala Linalobishaniwa?
Uhai wa mwanadamu unaanza wakati gani? Soma jinsi tekinolojia ya kisasa na Biblia inavyotoa jibu lenye kushangaza la swali hilo.
3 Kutoa Mimba Si Suluhisho Lisilo na Madhara
5 Uhai wa Mwanadamu Unaanza Wakati Gani?
12 Miaka 30 ya Kutafsiri kwa Siri
16 Plovdiv—Jiji la Kisasa Lenye Mambo ya Kale
28 Wape Watoto Wako Mwanzo Mzuri Maishani
30 Haki ya Mgonjwa ya Kuchagua
31 Ungejibuje?
32 “Endeleeni Kukesha!” Kusanyiko la Wilaya la Mashahidi wa Yehova
Kuna Sababu ya Kuwaogopa Wafu? 22
Kwa nini wafu wanaogopwa sana katika sehemu nyingi ulimwenguni? Ni nini kinachoweza kuwasaidia watu waache kuwaogopa wafu?
Vijana Wakatoliki Wahimizwa Watoe Ushahidi 24
Siku ya Vijana Ulimwenguni ya 2008—tukio kubwa zaidi kuwahi kufanywa nchini Australia—ilitazamwa kwenye televisheni na watu milioni 500 hivi ulimwenguni pote. Tukio hilo lilionyesha nini kuhusu imani ya vijana?