Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • le kur. 4-5
  • Wewe Uliumbwa na Nani?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wewe Uliumbwa na Nani?
  • Furahia Milele Maisha Duniani!
  • Habari Zinazolingana
  • Sehemu ya 3
    Msikilize Mungu
  • Kwa Sababu Gani Wanadamu Wanakufa?
    Furahia Milele Maisha Duniani!
  • Maisha Yalikuwaje Katika Paradiso?
    Msikilize Mungu Uishi Milele
  • Twaweza Kujifunza Kutokana na Wenzi Wawili wa Kwanza wa Kibinadamu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
Pata Habari Zaidi
Furahia Milele Maisha Duniani!
le kur. 4-5

Wewe Uliumbwa na Nani?

1 Mungu aliumba mbingu na dunia.—Mwanzo 1:1

2 Mungu ana jina lake. Jina lake ni Yehova.—Zaburi 83:18

Yehova anaishi mbinguni. Yeye ni roho. Wewe huwezi kumwona.—Isaya 66:1; Yohana 1:18; 4:24

3 Yehova Mungu aliumba malaika wengi mbinguni. Wao ni roho pia. Wote walikuwa wazuri. Zamani walikuwa wakijifanya wanadamu ili waonekane na watu.—Waebrania 1:7

4 Yehova aliumba wanyama zamani za kale, kabla ya kuumba wanadamu.—Mwanzo 1:25

5 Pia Yehova aliumba mwanamume jina lake Adamu na mke wake Hawa.—Mwanzo 1:27

Mungu aliwaweka katika bustani (shamba) nzuri sana, au paradiso. Yeye aliumbia Adamu mke mmoja tu. Mwanamume huyo alipaswa kukaa pamoja na mke wake huyo mmoja.—Mwanzo 2:8, 21, 22, 24

6 Mwanadamu ni nafsi.—Mwanzo 2:7

7 Wanyama ni nafsi.—Mwanzo 1:24, tafsiri ya Biblia ya New World

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki