Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • si kur. 284-298
  • Funzo Namba 3—Kupima Matukio Katika Mkondo wa Wakati

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Funzo Namba 3—Kupima Matukio Katika Mkondo wa Wakati
  • “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • KUHESABU KURUDI NYUMA MPAKA KUUMBWA KWA ADAMU
  • UKAAJI WA KIDUNIA WA YESU
  • KUHESABU MIAKA KATIKA NYAKATI ZA KIMITUME
  • Jinsi ya Kutafuta Maandiko Katika Biblia Yako
    Habari Zaidi
  • Mfululizo wa Matukio
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
  • Kronolojia
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
  • Kuchunguza Nyuso za Johari ya Mungu Isiyohesabika Bei Biblia!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
Pata Habari Zaidi
“Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
si kur. 284-298

Mafunzo Juu ya Maandiko Yenye Pumzi ya Mungu na Habari ya Msingi Yayo

Funzo Namba 3—Kupima Matukio Katika Mkondo wa Wakati

Hesabu ya wakati katika siku za Biblia na mazungumzo ya kronolojia ya matukio yenye kutokeza ya Maandiko ya Kiebrania na ya Kigiriki.

1. (a) Ni nini kinachoonyesha kwamba Yehova ni mtunza wakati aliye sahihi? (b) Ni maendeleo gani yamefanywa katika kuelewa kronolojia ya Biblia?

KATIKA kumpa Danieli njozi ya “mfalme wa kaskazini” na “mfalme wa kusini,” malaika wa Yehova alitumia usemi “wakati uliowekwa” mara kadhaa. (Dan. 11:6, 27, 29, 35, NW) Kuna maandiko mengine pia yanayoonyesha Yehova ni mtunza wakati aliye sahihi, ambaye hutimiza makusudi yake kwa wakati wayo barabara. (Luka 21:24; 1 The. 5:1, 2) Katika Neno lake, Biblia, yeye ametoa “vielekezi” kadhaa vinavyotusaidia tujue matukio yenye maana katika mkondo wa wakati. Maendeleo mengi yamefanywa katika kuelewea kronolojia ya Biblia. Utafiti wa waakiolojia na wengine huendelea kutoa nuru juu ya matatizo mbalimbali, ukituwezesha tujue wakati wa matukio makubwa-makubwa ya maandishi ya Biblia.—Mit. 4:18.

2. Toa kielelezo cha kuhesabu kwa namba ordinal.

2 Namba Ordinal na Cardinal. Katika funzo lililotangulia (mafungu 24 na 25), tulijifunza kwamba kuna tofauti kati ya namba cardinal na ordinal. Hilo lapasa kukumbukwa wakati wa kuhesabu vipindi vya Kibiblia kwa kupatana na njia za ki-siku-hizi za kuwekea tarehe. Kwa kielelezo, katika mrejezo wa “mwaka wa thelathini na saba wa kuhamishwa kwake Yehoyakini, mfalme wa Yuda,” usemi “wa thelathini na saba” ni namba ordinal. Huwakilisha miaka 36 kamili pamoja na siku, majuma, au miezi kadhaa (wakati wowote ule uliokuwa umepita tangu mwisho wa mwaka wa 36).—Yer. 52:31.

3. (a) Ni maandishi yapi ya Taifa ambayo husaidia katika kujua tarehe za Biblia? (b) Mwaka wa kutawala ulikuwa nini, na mwaka wa kutawazwa ulikuwa nini?

3 Miaka ya Kutawala na Kutawazwa. Biblia hurejezea maandishi ya Taifa ya serikali za Yuda na Israeli, na pia mambo ya Taifa la Babuloni na Uajemi. Katika falme zote hizo nne, kronolojia ya Taifa ilifahamika kisahihi kwa kulingana na tawala za wafalme, na mfumo uo huo wa kuhesabu umeingizwa katika Biblia. Mara nyingi Biblia huonyesha jina la hati iliyonukuliwa, kwa kielelezo, “kitabuni mwa mambo yake Sulemani.” (1 Fal. 11:41) Utawala wa mfalme ungehusisha sehemu ya mwaka wa kutawazwa, ikifuatiwa na hesabu kamili ya miaka ya utawala. Miaka ya utawala ilikuwa miaka rasmi katika kuwa kwenye ufalme na kwa ujumla ilihesabiwa toka Nisani mpaka Nisani, au toka masika mpaka masika. Mfalme aliporithi kiti cha enzi, miezi ya katikati mpaka mwezi ambao ungefuatia wa masika wa Nisani ilirejezewa kuwa mwaka wake wa kutawazwa, wakati ambao alijazia muhula wa utawala wa mtangulizi wake. Hata hivyo, muhula wake mwenyewe rasmi ulihesabiwa kuwa ukianzia Nisani 1 ambao ungefuata.

4. Onyesha jinsi kronolojia ya Biblia inavyoweza kuhesabiwa kwa kulingana na miaka ya kutawala.

4 Kwa kielelezo, yaonekana kwamba Sulemani alianza kutawala wakati fulani kabla ya Nisani wa 1037 K.W.K., Daudi akiwa angali hai. Muda mfupi baadaye, Daudi akafa. (1 Fal. 1:39, 40; 2:10) Hata hivyo, mwaka wa mwisho wa kutawala kwa Daudi uliendelea mpaka masika ya 1037 K.W.K., bado ukihesabiwa kuwa sehemu ya usimamizi wake wa miaka 40. Ile sehemu ya mwaka, tangu mwanzo wa utawala wa Sulemani mpaka masika ya 1037 K.W.K., hurejezewa kuwa mwaka wa kutawazwa wa Sulemani, na haungeweza kuhesabiwa kuwa mwaka wa utawala wake, kwa kuwa bado alikuwa akijazia muhula wa baba yake wa usimamizi. Kwa hiyo, mwaka wa kwanza kamili wa kutawala kwa Sulemani haukuanza mpaka Nisani wa 1037 K.W.K. (1 Fal. 2:12) Hatimaye, miaka kamili ya kutawala 40 ilihesabiwa usimamizi wa Sulemani akiwa mfalme. (1 Fal. 11:42) Kwa kuweka miaka ya utawala tofauti na miaka ya kutawazwa kwa njia hiyo, yawezekana kuhesabu kronolojia ya Biblia kwa usahihi.a

KUHESABU KURUDI NYUMA MPAKA KUUMBWA KWA ADAMU

5. Tarehe ya kurejeshwa kwa ibada ya Yehova katika Yerusalemu huamuliwaje?

5 Kuanzia Tarehe ya Msingi. Tarehe ya msingi ya kuhesabu kurudi nyuma mpaka kuumbwa kwa Adamu ni ile ya Koreshi kupindua utawala wa urithi wa Kibabuloni, 539 K.W.K.b Koreshi alitoa amri yake ya kufunguliwa kwa Wayahudi wakati wa mwaka wake wa kwanza, kabla ya masika ya 537 K.W.K. Ezra 3:1 huripoti kwamba wana wa Israeli walikuwa wamekwisha rejea Yerusalemu kufikia mwezi wa saba, Tishri, unaolingana na sehemu za Septemba na Oktoba. Kwa hiyo vuli ya 537 K.W.K. huonwa kuwa tarehe ya kurejeshwa kwa ibada ya Yehova katika Yerusalemu.

6. (a) Ni kipindi gani kilichotabiriwa ambacho kilimalizika katika vuli ya 537 K.W.K.? (b) Lazima kipindi hicho kiwe kilianza wakati gani, na mambo ya hakika huungaje mkono hilo?

6 Kurejeshwa huku kwa ibada ya Yehova katika vuli ya 537 K.W.K. kulitia alama mwisho wa kipindi cha kiunabii. Kipindi kipi? Kilikuwa ni ile “miaka sabini” ambamo katika hiyo Bara Lililoahidiwa ‘litakuwa ukiwa’ na ambacho kukihusu Yehova pia alisema, “Babeli utakapotimiziwa miaka sabini, nitawajilia ninyi, na kulitimiza neno langu jema kwenu, kwa kuwarudisha mahali hapa.” (Yer. 25:11, 12; 29:10) Danieli ambaye alijua vizuri unabii huo, alitenda kwa kupatana nao kwa kadiri ambavyo ile “miaka sabini” ilikaribia umalizio. (Dan. 9:1-3) Basi, ile “miaka sabini” iliyomalizika katika vuli ya 537 K.W.K, lazima iwe ilianza katika vuli ya 607 K.W.K. Mambo ya hakika yathibitisha hilo. Yeremia sura 52 hueleza matukio makubwa ya mazingiwa ya Yerusalemu, kupenya kwa Babuloni, na kutekwa kwa Mfalme Sedekia katika 607 K.W.K. Kisha, kama vile mstari 12 unavyoeleza, “katika mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi,” yaani, siku ya kumi ya Abi (unaolingana na sehemu za Julai na Agosti), Wababuloni waliteketeza hekalu na jiji hilo. Hata hivyo, bado huo haukuwa mwanzo wa “miaka sabini.” Masalio fulani ya utawala wa Kiyahudi yangali yalibaki kwa namna ya Gedalia, ambaye mfalme wa Babuloni alikuwa ameweka awe liwali wa kambi zilizosalia za Kiyahudi. “Katika mwezi wa saba,” Gedalia na wengineo waliuawa, hivi kwamba Wayahudi waliosalia wakakimbilia Misri kwa hofu. Ndipo tu, tangu karibu Oktoba 1, 607 K.W.K., bara liliachwa kwa maana kamili, ‘likakaa ukiwa miaka sabini.’—2 Fal. 25:22-26; 2 Nya. 36:20, 21.

7. (a) Miaka yaweza kuhesabiwaje kurudi nyuma kwenye mgawanyo wa ufalme baada ya kifo cha Sulemani? (b) Ni uungaji mkono gani unaotolewa katika unabii wa Ezekieli?

7 Tangu 607 K.W.K. mpaka 997 K.W.K. Hesabu ya kipindi hiki kurudi nyuma tangu anguko la Yerusalemu mpaka wakati wa mgawanyo wa ufalme baada ya kifo cha Sulemani hutokeza magumu mengi. Hata hivyo, ulinganishi wa tawala za Israeli na Yuda kama ilivyoandikwa katika Wafalme wa Kwanza na wa Pili hudokeza kwamba kipindi hiki huhusisha miaka 390. Uthibitisho wenye nguvu kwamba hii ndiyo tarakimu sahihi ni unabii wa Ezekieli 4:1-13. Unabii huu huonyesha kwamba unaelekeza kwenye wakati ambao Yerusalemu lingezingirwa na wakaaji walo kutwaliwa mateka na mataifa, jambo ambalo lilitukia katika 607 K.W.K. Kwa hiyo ile miaka 40 inayosemwa katika kisa cha Yuda ilimalizika na kuachwa ukiwa kwa Yerusalemu. Ile miaka 390 inayonenwa katika kisa cha Israeli haikumalizika wakati Samaria lilipoharibiwa, kwa maana muda mrefu ulikuwa umepita tangu Ezekieli alipotoa unabii, na unabii husema wazi kwamba hilo laelekezea kuzingirwa na kuharibiwa kwa Yerusalemu. Kwa hiyo, “uovu wa nyumba ya Israeli,” pia, ulimalizika katika 607 K.W.K. Tukihesabu kurudi nyuma kwenye tarehe hiyo, twaona kwamba kipindi cha miaka 390 kilianza katika 997 K.W.K. Katika mwaka huo, Yeroboamu, baada ya kifo cha Sulemani, aliachana na nyumba ya Daudi na ‘kuvuta Israeli wasimfuate Yehova, akawakosesha kosa kubwa.’—2 Fal. 17:21.

8. (a) Miaka huhesabiwaje kurudi nyuma mpaka Kutoka? (b) Ni badiliko gani lenye tokeo juu ya kronolojia ya Biblia karibu na wakati huo?

8 Tangu 997 K.W.K. mpaka 1513 K.W.K. Kwa kuwa ule wa mwisho wa miaka 40 kamili ya utawala wa Sulemani ulikwisha katika masika ya 997 K.W.K., yamaanisha mwaka wake wa kwanza wa utawala lazima uwe ulianzia masika ya 1037 K.W.K. (1 Fal. 11:42) Maandishi ya Biblia, kwenye 1 Wafalme 6:1, husema kwamba Sulemani alianza kujenga nyumba ya Yehova katika Yerusalemu katika mwezi wa pili wa mwaka wa nne wa utawala wake. Hiyo yamaanisha miaka mitatu kamili na mwezi mmoja kamili ya utawala wake ilikuwa imekwisha, hiyo ikituleta kwenye Aprili-Mei wa 1034 K.W.K. kuwa mwanzo wa ujenzi wa hekalu. Hata hivyo, andiko lilo hilo laeleza kwamba huo pia ulikuwa “mwaka wa mia nne na themanini baada ya kutoka wana wa Israeli katika nchi ya Misri.” Kwa mara nyingine, wa 480 ni namba ordinal, inayowakilisha miaka kamili 479. Kwa hiyo, 479 kuongezea 1034 huleta tarehe 1513 K.W.K. kuwa mwaka ambao Israeli walitoka Misri. Fungu 19 la Funzo 2 laeleza kwamba tangu mwaka 1513 K.W.K., Abibu (Nisani) ungeonwa kuwa “mwezi wa kwanza wa mwaka” kwa Israeli (Kut. 12:2) na kwamba hapo awali mwaka wenye kuanzia vuli, wa mwezi Tishri, ulikuwa umefuatwa. The New Schaff-Herzog Encyclopedia of Religious Knowledge, 1957, Buku 12, ukurasa 474, hueleza hivi: “Ufahamu wa miaka ya utawala ya wafalme hutegemea mwaka ulioanza katika masika, na hulingana na njia ya Kibabuloni ambayo hili lilifuatwa sana.” Wakati wowote ule ambao badiliko la mwanzo wa mwaka katika vuli mpaka mwanzo wa mwaka katika masika lilianza kufuatwa kwa vipindi vya wakati katika Biblia, hilo lingehusisha kupoteza au kuongezeka kwa miezi sita mahali fulani katika hesabu ya wakati.

9. (a) Maandishi hupewaje tarehe ya kurudi nyuma mpaka wakati agano la Kiabrahamu lilipoanza kutumika? (b) Miaka 215 ya kwanza ya kipindi hiki huhesabiwaje? (c) Abrahamu alikuwa mwenye umri gani alipovuka Frati akiwa njiani kwenda Kanaani?

9 Tangu 1513 K.W.K. mpaka 1943 K.W.K. Katika Kutoka 12:40, 41, Musa aandika kwamba “wana wa Israeli kukaa kwao, maana, muda waliokaa ndani ya Misri, ulikuwa ni miaka mia nne na thelathini.” Kutokana na maneno yaliyo juu, ni wazi kwamba ‘ukaaji’ wote huo haukuwa katika Misri. Kipindi hiki cha wakati huanzia na kuvuka kwa Abrahamu Frati akiwa njiani kwenda Kanaani, wakati ambao agano la Yehova pamoja na Abrahamu lilianza kutenda. Miaka ya kwanza 215 ya ‘ukaaji’ huo ilikuwa katika Kanaani, na kisha kipindi kinacholingana na hicho kilitumiwa katika Misri, mpaka Israeli walipokuwa huru kikamili kutokana na utawala na utegemeo wote wa Kimisri, katika 1513 K.W.K.c Kielezi-chini cha New World Translation kuhusu Kutoka 12:40 huonyesha kwamba Septuagint ya Kigiriki, ambayo hutegemea maandishi ya Kiebrania yaliyo ya kale zaidi ya Masora, huongeza, baada ya neno “Misri,” maneno “na katika bara la Kanaani.” Pentateuki ya Kisamaria hufanya vivyo hivyo. Wagalatia 3:17, ambayo pia hutaja hiyo miaka 430, huthibitisha kwamba kipindi hicho kilianza lilipoanza kutumika agano la Kiabrahamu, wakati ambao Abrahamu alivuka Frati akiwa njiani kwenda Kanaani. Kwa hiyo, hilo lilikuwa katika 1943 K.W.K., wakati ambao Abrahamu alikuwa na umri wa miaka 75.—Mwa. 12:4.

10. Ni njia gani nyingine ya uthibitisho inayounga mkono kronolojia ya wakati wa Abrahamu?

10 Mstari mwingine wenye uthibitisho huunga mkono ufahamu ulio juu: Katika Matendo 7:6 mtajo hufanywa juu ya mbegu ya Abrahamu ikisumbuliwa kwa miaka 400. Kwa kuwa Yehova aliondoa masumbuko yaliyoletwa na Misri katika 1513 K.W.K., mwanzo wa masumbuko lazima uwe ulikuwa katika 1913 K.W.K. Hiyo ilikuwa ni miaka mitano baada ya kuzaliwa kwa Isaka na hulingana na Ishmaeli ‘akifanyia dhihaka’ Isaka wakati wa kuachishwa kunyonya.—Mwa. 15:13; 21:8, 9.

11. Jedwali ya wakati ya Biblia huturudishaje nyuma mpaka tarehe ya Gharika?

11 Tangu 1943 K.W.K. mpaka 2370 K.W.K. Tumekwisha ona kwamba Abrahamu alikuwa mwenye umri wa miaka 75 alipoingia Kanaani katika 1943 K.W.K. Sasa yawezekana kujua mkondo wa wakati kurudi nyuma zaidi, mpaka kwa siku za Nuhu. Hilo hufanywa kwa kutumia vipindi tulivyopewa katika Mwanzo 11:10 mpaka 12:4. Ufahamu huo, unaotoa jumla ya miaka 427, hufanywa kama ifuatavyo:

Tangu mwanzo wa Gharika mpaka

kuzaliwa kwa Arfaksadi miaka 2

Kisha mpaka kuzaliwa kwa Shela 35 “

Mpaka kuzaliwa kwa Eberi 30 “

Mpaka kuzaliwa kwa Pelegi 34 “

Mpaka kuzaliwa kwa Reu 30 “

Mpaka kuzaliwa kwa Serugi 32 “

Mpaka kuzaliwa kwa Nahori 30 “

Mpaka kuzaliwa kwa Tera 29 “

Mpaka kifo cha Tera, wakati

Abrahamu alikuwa miaka 75 205 “

Jumla miaka 427

Kujumlisha miaka 427 na 1943 K.W.K. hutuleta kwa 2370 K.W.K. Kwa hiyo jedwali ya wakati ya Biblia huonyesha kwamba Gharika ya siku ya Nuhu ilianza katika 2370 K.W.K.

12. Ni nini hesabu ya wakati wa kurudi nyuma mpaka kuumbwa kwa Adamu?

12 Tangu 2370 K.W.K. mpaka 4026 K.W.K. Kurudi nyuma zaidi katika mkondo wa wakati, twakuta kwamba Biblia huwekea tarehe kipindi tangu Gharika kurudi nyuma kabisa mpaka kuumbwa kwa Adamu. Hilo huamuliwa na Mwanzo 5:3-29 na 7:6, 11. Hesabu ya wakati imefanyiwa muhtasari chini:

Tangu kuumbwa kwa Adamu mpaka

kuzaliwa kwa Sethi miaka 130

Kisha mpaka kuzaliwa kwa Enoshi 105 “

Mpaka kuzaliwa kwa Kenani 90 “

Mpaka kuzaliwa kwa Mahalaleli 70 “

Mpaka kuzaliwa kwa Yaredi 65 “

Mpaka kuzaliwa kwa Henoko 162 “

Mpaka kuzaliwa kwa Methusela 65 “

Mpaka kuzaliwa kwa Lameki 187 “

Mpaka kuzaliwa kwa Nuhu 182 “

Mpaka Gharika 600 “

Jumla miaka 1,656

Kujumlisha miaka 1,656 na tarehe yetu ya awali ya 2370 K.W.K., twafikia 4026 K.W.K. wakati wa kuumbwa kwa Adamu, labda katika vuli, kwa kuwa ni katika vuli mwaka ulianza katika kalenda zilizo nyingi za kale.

13. (a) Kwa hiyo, historia ya ainabinadamu juu ya dunia hii ni ndefu jinsi gani? (b) Kwa nini hilo halilingani na urefu wa siku ya pumziko ya Yehova?

13 Hilo ni lenye umaana gani leo? Chapa ya kwanza ya kitabu hiki, iliyochapishwa katika 1963 (Kiingereza), ilieleza hivi: “Je! basi hiyo yamaanisha kwamba kufikia 1963 tulikuwa tumesonga mbele miaka 5,988 ndani ya ‘siku’ ambayo Yehova ‘amekuwa akipumzika kutoka kazi yake’? (Mwa. 2:3) La, kwa maana kuumbwa kwa Adamu hakulingani na mwanzo wa siku ya pumziko la Yehova. Baada ya kuumbwa kwa Adamu, na bado ndani ya siku ya sita ya uumbaji, yaelekea Yehova alikuwa akifanyiza viumbe zaidi vya wanyama na nyuni. Pia, alimwagiza Adamu awape wanyama majina, jambo ambalo lingechukua wakati fulani, na kisha akamwumba Hawa. (Mwa. 2:18-22; ona pia NW, Chapa ya 1953, kielezi-chini juu ya mst. 19) Wakati wowote uliopita kati ya kuumbwa kwa Adamu na mwisho wa ‘siku ya sita’ lazima uondolewe kutoka ile miaka 5,988 ili kupata urefu kamili wa wakati tangu mwanzo wa ‘siku ya saba’ mpaka [1963]. Hakuna faida kutumia kronolojia ya Biblia kufanya udhanifu juu ya tarehe ambazo zingali za wakati ujao katika mkondo wa wakati.—Mt. 24:36.”d

14. Ni kwa nini simulizi la Biblia la asili ya ainabinadamu ni la kupendelewa zaidi ya dhana na nadharia za binadamu?

14 Vipi juu ya madai ya kisayansi kwamba binadamu amekuwa juu ya dunia hii kwa mamia ya maelfu ya miaka au hata mamilioni? Hakuna yoyote yanayoweza kuthibitishwa na maandishi yaliyoandikwa ya nyakati hizo za kale, kama ambavyo matukio ya Kibiblia yawezavyo. Tarehe za kale sana zinazopewa kwa “binadamu wa zamani za kale” hutegemea dhana zisizoweza kutolewa uthibitisho. Kwa kweli, historia ya kilimwengu yenye kutegemeka, pamoja na kronolojia yayo, hurudi nyuma maelfu machache tu ya miaka. Dunia imepatwa na mabadiliko na misukosuko mingi, kama vile Gharika ya ulimwenguni pote ya siku ya Nuhu, ambayo yamevuruga sana tabaka za miamba na masalio ya visukuku, hivyo kufanya maelezo ya kisayansi juu ya tarehe za kabla ya Gharika kuwa za kukisia kabisa.e Tofauti na mawazo na nadharia zote zenye kupingana za wanadamu, Biblia huvutia akili katika simulizi layo lililo wazi, lenye upatano juu ya asili ya ainabinadamu na historia yayo ya watu waliochaguliwa wa Yehova iliyopangiliwa kwa uangalifu.

15. Funzo la Biblia lapasa kuwa na matokeo gani kwetu?

15 Funzo la Biblia na kufikiria kazi za Mtunza Wakati Mkuu, Yehova Mungu, vyapasa kutufanya tuhisi tukiwa wanyenyekevu sana. Binadamu afaye ni duni kweli kweli kwa kulinganishwa na Mungu mweza yote, ambaye tendo kubwa mno lake la uumbaji, lililofanywa mamileani yasiyohesabika yaliyopita, huelezwa kwa urahisi sana hivi katika Andiko: “Katika mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia.”—Mwa. 1:1, NW.

UKAAJI WA KIDUNIA WA YESU

16. (a) Zile Gospeli nne ziliandikwa kwa utaratibu gani? (b) Twaweza kuupa mwanzo wa huduma ya Yesu tarehe gani? (c) Matukio hufuata mfululizo gani katika zile Gospeli tofauti-tofauti, na ni nini cha kuangaliwa juu ya simulizi la Yohana?

16 Yale masimulizi manne yaliyopuliziwa na Mungu ya maisha ya kidunia ya Yesu yaelekea yaliandikwa katika utaratibu huu: Mathayo (c. 41 W.K.), Luka (c. 56-58 W.K.), Marko (c. 60-65 W.K.), na Yohana (c. 98 W.K.). Kama ilivyoelezwa katika sura iliyotangulia, kutumia habari katika Luka 3:1-3 pamoja na tarehe 14 W.K. kuwa mwanzo wa utawala wa Kaisari Tiberia, hutufikisha kwenye tarehe 29 W.K. kuwa mwanzo wa huduma yenye kutokeza ya Yesu juu ya dunia hii. Ingawa matukio katika Mathayo sikuzote hayafuati utaratibu wa kronolojia, katika visa vilivyo vingi vile vitabu vitatu vingine huelekea kufuata utaratibu halisi wa matukio makubwa-makubwa yaliyotokea. Hayo yaonyeshwa katika chati inayofuata. Itaangaliwa kwamba simulizi la Yohana, lililoandikwa miaka zaidi ya 30 baada ya lile la mwisho miongoni mwa yale matatu, hujazia nafasi muhimu katika historia ambayo haielezwi na yale mengine. Hasa wa kuangaliwa ni mtajo wa wazi wa Yohana wa zile Kupitwa nne za huduma ya kidunia ya Yesu, jambo linalothibitisha huduma ya miaka mitatu na nusu, inayomalizikia 33 W.K.f—Yn. 2:13; 5:1; 6:4; 12:1; na 13:1.

17. Ni uthibitisho gani mwingine unaounga mkono tarehe ya kifo cha Yesu?

17 Uhakika wa kifo cha Yesu katika 33 W.K. huonyeshwa pia na uthibitisho mwingine. Kulingana na Sheria ya Musa, Nisani 15 sikuzote ilikuwa Sabato ya pekee bila kujali iliangukia siku gani. Ikiangukia siku ya Sabato ya kawaida, basi siku hiyo ilijulikana kuwa Sabato “kuu,” na Yohana 19:31 huonyesha kwamba Sabato ya namna hiyo ilifuata siku ya kifo cha Yesu, ambacho basi kilikuwa Ijumaa. Na Nisani 14 iliangukia Ijumaa katika Nisani 33 W.K. peke yake wala si katika 31 au 32. Kwa hiyo, lazima iwe ilikuwa mnamo Nisani 14, 33 W.K., ambapo Yesu alikufa.g

18. (a) Danieli alitoa unabii gani kwa habari ya “majuma” 69? (b) Kulingana na Nehemia, kipindi hicho kilianza wakati gani? (c) Twafikiaje tarehe ya mwanzo wa utawala wa Artashasta?

18 Lile “Juma” la 70, 29-36 W.K. Mambo ya wakati wa huduma ya Yesu yalizungumzwa pia na Danieli 9:24-27, ambayo hutabiri upitaji wa majuma ya miaka 69 (miaka 483) “tangu kuwekwa amri ya kutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani zake masihi aliye mkuu.” Kulingana na Nehemia 2:1-8, neno hili lilitolewa “mwaka wa ishirini wa mfalme Artashasta,” mfalme wa Uajemi. Artashasta alianza utawala wake lini? Babae na mtangulizi wake, Shasta, alikufa katika sehemu ya mwisho ya 475 K.W.K. Kwa hiyo mwaka wa kutawazwa wa Artashasta ulianza katika 475 K.W.K., na hilo laungwa mkono na uthibitisho wenye nguvu kutoka vyanzo vya Kigiriki, Kiajemi, na Kibabuloni. Kwa kielelezo, mwanahistoria Mgiriki Thusidido (ambaye amejulikana sana kwa ajili ya usahihi wake) aandika juu ya kukimbia kwa mtawala Mgiriki Themistoko mpaka Uajemi wakati ambapo Artashasta alikuwa “amewekwa juzijuzi katika kiti cha enzi.” Mwanahistoria mwingine Mgiriki wa karne ya kwanza W.K., Diodoro Sikulusi, atuwezesha kujua tarehe ya kifo cha Themistoko kuwa 471/470 K.W.K. Baada ya kukimbia nchi yake, Themistoko alikuwa amemwomba ruhusa Artashasta ajifunze lugha ya Kiajemi kwa mwaka mmoja kabla ya kujitokeza mbele yake, jambo ambalo lilitekelezwa. Kwa hiyo, kukaa kwa Themistoko katika Uajemi lazima kuwe hakukuwa baada ya 472 K.W.K., na kuwasili kwake kwa kufaa kwaweza kupewa tarehe ya 473 K.W.K. Wakati huo Artashasta alikuwa “amewekwa juzijuzi katika kiti cha enzi.”h

19. (a) Kwa kuhesabu tangu ‘mwaka wa ishirini wa Artashasta,’ tunajuaje tarehe ya kutokea kwa Mesiya? (b) Ule unabii wa “majuma” 70 ulitimizwaje kuanzia tarehe hiyo?

19 Kwa hiyo, ‘mwaka wa ishirini wa Artashasta’ ungekuwa ni 455 K.W.K. Tukihesabu miaka 483 (yale “majuma” 69) kuanzia hapa, na tukikumbuka kwamba hakukuwako mwaka sifuri katika kuvuka kuingia katika Wakati wa Kawaida, twawasili kwenye mwaka 29 W.K. wa kutokea kwa “masihi aliye mkuu.” Yesu alipata kuwa Mesiya alipobatizwa na kupakwa mafuta kwa roho takatifu, katika vuli ya mwaka huo. Unabii huo pia unaonyesha kwamba “kwa nusu ya juma hiyo [ya sabini] ataikomesha sadaka na dhabihu.” Hilo lilitukia wakati dhabihu halisi za Kiyahudi zilipopoteza thamani kwa sababu ya dhabihu ya Yesu mwenyewe. “Nusu” ya hilo “juma” la miaka yatupeleka mbele miaka mitatu na nusu kwenye masika ya 33 W.K., wakati Yesu alipouawa. Hata hivyo, “atafanya agano thabiti na watu wengi” kwa juma lote la 70. Hilo laonyesha kibali cha pekee cha Yehova kuwa kikienda kwa Wayahudi wakati wa ile miaka saba tangu 29 W.K. mpaka 36 W.K. Ndipo tu, njia ilipofunguliwa kwa watu wasiotahiriwa wasio Wayahudi kuwa Waisraeli wa kiroho, kama inavyoonyeshwa na kuongolewa kwa Kornelio katika 36 W.K.i—Mdo. 10:30-33, 44-48; 11:1.

KUHESABU MIAKA KATIKA NYAKATI ZA KIMITUME

20. Historia ya kilimwengu huunganaje na maandishi ya Biblia katika kuonyesha wakati wa kifo cha Herode na matukio yaliyotangulia?

20 Kati ya 33 W.K. na 49 W.K. Mwaka 44 W.K. waweza kukubaliwa kuwa tarehe inayokifaa kipindi hiki. Kulingana na Yosefo (Jewish Antiquities, XIX, 351 [viii, 2]), Herode Agripa 1 alitawala kwa miaka mitatu baada ya kutawazwa kwa Maliki Klaudio wa Rumi (katika 41 W.K.). Uthibitisho wa kihistoria waonyesha kwamba Herode huyu alikufa katika 44 W.K.j Tukiangalia sasa kwenye maandishi ya Biblia, twaona kwamba ilikuwa kabla tu ya kifo cha Herode kwamba Agabo alitabiri “kupitia roho,” NW, kuhusu njaa kubwa ambayo ingekuja, kwamba mtume Yakobo aliuawa kwa upanga, na kwamba Petro alifungwa gerezani (wakati wa Kupitwa) na kufunguliwa kimwujiza. Matukio hayo yote yaweza kupewa tarehe ya 44 W.K.—Mdo. 11:27, 28; 12:1-11, 20-23.

21. Tunaweza kukadiriaje tarehe ya safari ya kwanza ya misionari ya Paulo kwa msingi gani?

21 Njaa kubwa hiyo iliyotabiriwa ilikuja karibu 46 W.K. Lazima iwe ilikuwa karibu na wakati huu kwamba Paulo na Barnaba ‘walitimiza huduma ya msaada katika Yerusalemu.’ (Mdo. 12:25, NW) Baada ya kurejea Antiokia ya Shamu, waliwekwa kando na roho takatifu wafanye safari ya kwanza ya umisionari, ambayo ilitia ndani Saiprasi na majiji na wilaya nyingine nyingi za Asia Ndogo.k Yawezekana hiyo iliendelea toka masika ya 47 W.K. mpaka vuli ya 48 W.K., na kipupwe kimoja kikatumiwa katika Asia Ndogo. Yaonekana Paulo alitumia kipupwe kilichofuata kule Antiokia ya Shamu, na hilo latuleta kwenye masika ya 49 W.K.—Mdo. 13:1–14:28.

22. Tarehe za zile ziara mbili za Paulo huko Yerusalemu zinazotajwa katika Wagalatia 1 na 2 zaweza kujulikanaje?

22 Maandishi katika Wagalatia sura ya 1 na 2 yaonekana yakubaliana na kronolojia hiyo. Hapo Paulo anena juu ya kufanya ziara nyingine mbili za pekee kwenda Yerusalemu baada ya kuongolewa kwake, moja ikiwa “baada ya miaka mitatu” na ile nyingine “baada ya miaka kumi na minne.” (Gal. 1:17, 18; 2:1) Endapo vipindi hivi viwili vya wakati vyachukuliwa kuwa ordinal, kwa kulingana na desturi ya siku hiyo, na endapo kuongolewa kwa Paulo kulikuwa mapema katika wakati wa mitume, kama ambavyo maandishi yaelekea kuonyesha, basi twaweza kuchukua ile miaka 3 na kisha ile miaka 14 ikifuatana kuwa 34-36 W.K. na 36-49 W.K.

23. Ni uthibitisho gani unaoonyesha kwamba Wagalatia sura 2 na Matendo sura 15 hurejezea ziara ya Paulo huko Yerusalemu katika 49 W.K.?

23 Ziara ya pili ya Yerusalemu ya Paulo inayotajwa katika Wagalatia yaelekea ilihusiana na suala la tohara, kwa kuwa hata yasemekana halikuwa takwa Tito ambaye aliambatana na Paulo atahiriwe. Iwapo hilo lalingana na ile ziara ya kupata uamuzi juu ya tohara inayoelezwa katika Matendo 15:1-35, basi 49 W.K. waingia vizuri kati ya safari ya umisionari ya Paulo ya kwanza na ya pili. Kuongezea hayo, kwa kulingana na Wagalatia 2:1-10, Paulo alitumia pindi hii kuweka mbele ya “wenye sifa” wa kundi la Yerusalemu habari njema alizokuwa akihubiri, ‘isiwe anapiga mbio bure.’ Ni jambo la akili angefanya hilo akiripoti kwao baada ya safari yake ya kwanza kabisa ya umisionari. Paulo alifanya ziara hiyo ya kwenda Yerusalemu baada ya ‘kufunuliwa.’

24. Paulo alifanya safari yake ya pili ya umisionari wakati wa miaka ipi, na kwa nini, bila shaka, hakufika Korintho mpaka baadaye katika 50 W.K.?

24 Safari ya Pili ya Umisionari ya Paulo, c. 49-52 W.K. Baada ya kurejea kwake kutoka Yerusalemu, Paulo alitumia wakati katika Antiokia ya Shamu; kwa hiyo, lazima iwe ilikuwa baadaye sana katika kiangazi cha 49 W.K. kwamba akafunga safari yake ya pili kutoka huko. (Mdo. 15:35, 36) Hii ilitia sehemu nyingi zaidi ya ile ya kwanza na ingemhitaji atumie kipupwe katika Asia Ndogo. Yawezekana ilikuwa ni katika masika ya 50 W.K. kwamba alijibu mwito wa Makedonia na akavuka kuingia Ulaya. Kisha alihubiri na kupanga kitengenezo makundi mapya katika Filipi, Thesalonika, Beroya, na Athene. Hilo lingemleta Korintho, katika mkoa wa Akaya, katika vuli ya 50 W.K., baada ya kuwa amefanya safari ya karibu kilometa 2,090, sehemu kubwa ikiwa ni kutembea. (Mdo. 16:9, 11, 12; 17:1, 2, 10, 11, 15, 16; 18:1) Kulingana na Matendo 18:11, Paulo alikaa huko kwa miezi 18, hiyo ikituleta mapema kwenye 52 W.K. Kipupwe kikiwa kimemalizika, Paulo angeweza kuabiri kwenda Kaisaria, kupitia Efeso. Baada ya kwenda kusalimu kundi, yaonekana katika Yerusalemu, aliwasili kwenye kituo cha nyumbani kwake cha Antiokia ya Shamu, yawezekana katika kiangazi cha 52 W.K.l—Mdo. 18:12-22.

25. (a) Akiolojia huungaje mkono 50-52 W.K. kuwa wakati wa ziara ya kwanza ya Paulo kule Korintho? (b) Uhakika wa kwamba Akila na Prisila walikuwa ‘wamekuja kutoka nchi ya Italia siku za karibu’ huthibitishaje hilo?

25 Ugunduzi mmoja wa kiakiolojia huunga mkono 50-52 W.K. kuwa tarehe za ziara ya kwanza ya Paulo kule Korintho. Huo ni kipande chenye maandishi, yenye amri kutoka kwa Maliki Kaisari Klaudio kwenda kwa Delfiano wa Ugiriki, lenye maneno “[Lisio Yu]nio, Galio . . . liwali.” Wanahistoria kwa ujumla hukubaliana kwamba namba 26, ambayo pia hupatikana katika maandishi, hurejezea Klaudio akiisha kutangazwa kuwa maliki kwa mara ya 26. Maandishi mengine yaonyesha kwamba Klaudio alitangazwa maliki kwa mara ya 27 kabla ya Agosti 1, 52 W.K. Muhula wa liwali ulikuwa wa mwaka mmoja, kuanzia mwanzo wa kiangazi. Kwa hiyo, mwaka wa Galio akiwa liwali wa Akaya yaelekea ulianzia kiangazi cha 51 W.K. mpaka kiangazi cha 52 W.K. “Hata Galio alipokuwa liwali wa Akaya, Wayahudi wakamwinukia Paulo kwa nia moja, wakamleta mbele ya kiti cha hukumu.” Baada ya Galio kumwondolea Paulo mashtaka, mtume huyo alikaa “siku nyingi,” na kisha akaabiri kwenda Shamu. (Mdo. 18:11, 12, 17, 18) Yote hayo yaonekana yatoa uhakikisho kwamba masika ya 52 W.K. ndio umalizio wa ukaaji wa Paulo wa miezi 18 katika Korintho. Kialama kingine cha wakati chapatikana katika taarifa kwamba alipowasili katika Korintho, Paulo ‘alimwona Myahudi mmoja, jina lake Akila, mzalia wa Ponto; naye amekuja kutoka nchi ya Italia siku za karibu, pamoja na Prisila mkewe, kwa sababu Klaudio amewaamuru Wayahudi wote watoke Rumi.’ (Mdo. 18:2) Kulingana na mwanahistoria Paulo Orosio, wa mapema karne ya tano, agizo hilo la kufukuzwa lilitolewa katika mwaka wa tisa wa Klaudio, yaani, katika 49 W.K. au mapema katika 50 W.K. Kwa hiyo, Akila na Prisila wangeweza kuwa walifika Korintho wakati fulani kabla ya vuli ya mwaka huo, hiyo ikiruhusu ukaaji wa Paulo huko tangu vuli ya 50 W.K. mpaka masika ya 52 W.K.a

26. Ni tarehe zipi hutia alama hatua za mfululizo za safari ya tatu ya umisionari ya Paulo?

26 Safari ya Tatu ya Umiisionari ya Paulo, c. 52-56 W.K. Baada ya upitaji wa “siku kadha wa kadha” katika Antiokia ya Shamu, Paulo alikuwa njiani kuingia Asia Ndogo tena, na yawezekana kwamba alifika Efeso kufikia kipupwe cha 52-53 W.K. (Mdo. 18:23; 19:1) Paulo alitumia “miezi mitatu” na kisha “miaka miwili” akifundisha katika Efeso, na baada ya hilo aliondoka kwenda Makedonia. (Mdo. 19:8-10) Baadaye, alikumbusha waangalizi kutoka Efeso kwamba alikuwa ametumikia miongoni mwao kwa “miaka mitatu,” lakini hii yaweza kuwa ni tarakimu ya kadirio la kijumla. (Mdo. 20:31) Yaelekea kwamba Paulo aliondoka Efeso baada ya sikukuu ya “Pentekoste” mapema katika 55 W.K., akisafiri njia yote mpaka Korintho, Ugiriki, akawahi ili atumie miezi mitatu ya kipupwe huko. Kisha alirejea kaskazini kule Filipi kufikia wakati wa Kupitwa ya 56 W.K. Kutoka huko aliabiri kupitia njia ya Troa na Mileto mpaka Kaisaria na kusafiri mpaka Yerusalemu, akiwasili kufikia Pentekoste ya 56 W.K.b—1 Kor. 16:5-8; Mdo. 20:1-3, 6, 15, 16; 21:8, 15-17.

27. Ni wakati gani wa matukio kuendelea mpaka mwisho wa utekwa wa Paulo wa kwanza katika Rumi?

27 Miaka ya Kumalizia, 56-100 W.K. Ilikuwa muda mfupi baada ya kuwasili kwake katika Yerusalemu kwamba Paulo alikamatwa. Alipelekwa mpaka Kaisaria na akabaki kizuizini huko kwa miaka miwili, mpaka Festo alipokuwa liwali badala ya Feliki. (Mdo. 21:33; 23:23-35; 24:27) Tarehe ya kuwasili kwa Feliki na kisha ile ya kuondoka kwa Paulo kuelekea Rumi yaelekea ilikuwa ni 58 W.K.c Baada ya Paulo kuvunjikiwa na merikebu na kutumia kipupwe katika Melita, safari hiyo ilikamilishwa karibu 59 W.K., na maandishi yaonyesha kwamba alibaki katika utekwa katika Rumi, akihubiri na kufundisha, kwa kipindi cha miaka miwili, au mpaka karibu 61 W.K.—Mdo. 27:1; 28:1, 11, 16, 30, 31.

28. Ni tarehe zipi ambazo yawezekana ndizo za matukio ya umalizio ya uhai wa Paulo?

28 Ingawa maandishi ya kihistoria ya Matendo hayatupeleki mbali zaidi ya hapo, vionyeshi ni kwamba Paulo alifunguliwa na akaendelea na utendaji wake wa misionari, akisafiri mpaka Krete, Ugiriki, na Makedonia. Kama alifika kule mbali Hispania haijulikani. Yaelekea Paulo alifia imani mikononi mwa Nero muda mfupi baada ya kifungo chake cha mwisho kule Rumi katika karibu 65 W.K. Historia ya kilimwengu hutoa Julai wa 64 W.K. kuwa ndiyo tarehe ya moto mkuu katika Rumi, ambao ulitokeza mnyanyaso wa Nero juu ya Wakristo. Kufikiri kuzuri huonyesha kuwa kufungwa gerezani kwa Paulo katika “mnyororo” na hatimaye kuuawa, kulitukia katika kipindi hicho.—2 Tim. 1:16; 4:6, 7.

29. Enzi ya kimitume ilikwisha lini, na kwa uandishi wa vitabu vipi vya Biblia?

29 Vile vitabu vitano vya mtume Yohana viliandikwa mwishoni mwa wakati wa mnyanyaso ulioletwa na Maliki Domitian. Husemekana yeye alitenda kama mwenye kichaa wakati wa miaka mitatu ya mwisho ya utawala wake, uliotia ndani 81-96 W.K. Alipokuwa katika uhamisho kwenye kisiwa cha Patmo ndipo Yohana alpoandika Ufunuo, karibu 96 W.K.d Gospeli yake na barua tatu zilifuata kutoka Efeso au ujirani walo baada ya kuachiliwa kwake, na huyu wa mwisho wa mitume alikufa karibu 100 W.K.

30. Funzo hili la kronolojia ya Biblia ni lenye mafaa gani?

30 Kwa hiyo yaonekana kwamba kwa kulinganisha matukio ya historia ya kilimwengu na kronolojia ya ndani ya Biblia na unabii, tunasaidiwa kujua kwa uwazi zaidi matukio ya Biblia katika mkondo wa wakati. Upatani wa kronolojia ya Biblia huongezea uhakika wetu katika Maandiko Matakatifu kuwa Neno la Mungu.

[Maelezo ya Chini]

a Katika kujifunza sura hii, huenda ikasaidia kurejezea Insight on the Scriptures, Buku 1, kurasa 458-67.

b Funzo 2, mafungu 28, 29.

c Tangu kuvuka kwa Abrahamu Frati mpaka kuzaliwa kwa Isaka ni miaka 25; kisha kufikia kuzaliwa kwa Yakobo, miaka 60; Yakobo alikuwa na umri wa miaka 130 aliposhuka kwenda Misri.—Mwa. 12:4; 21:5; 25:26; 47:9.

d Katika 1990, wakati huu uliopita lazima uondolewe kutoka miaka 6,015.

e Amkeni! (Kiingereza), Septemba 22, 1986, kurasa 17-27; Aprili 8, 1972, kurasa 5-20.

f Insight on the Scriptures, Buku 2, kurasa 57-8.

g Mnara wa Mlinzi (Kiingereza), 1976, kurasa 247; 1959, kurasa 489-92.

h Insight on the Scriptures, Buku 2, kurasa 614-16.

i Insight on the Scriptures, Buku 2, kurasa 899-904.

j The New Encyclopædia Britannica, 1987, Buku. 5, ukurasa 880.

k Insight on the Scriptures, Buku 2, ukurasa 747.

l Insight on the Scriptures, Buku 2, ukurasa 747.

a Insight on the Scriptures, Buku 1, kurasa 476, 886.

b Insight on the Scriptures, Buku 2, ukurasa 747.

c Analytical Concordance to the Bible ya Young, ukurasa 342, chini ya “Festo.”

d Notes on the Book of Revelation, 1852, cha Albert Barnes, kurasa xxix, xxx.

MATUKIO MAKUU YA MAISHA YA KIDUNIA YA YESU—Zile Gospeli Nne Hupanga kwa Utaratibu wa Tarehe za Matukio

Vifananishi: b. chasimamia “baada”; c. chasimamia “karibu.”

Wakati Mahali Tukio

Kuongoza Hadi Kwenye Huduma ya Yesu

3 K.W.K Yerusalemu, Kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji

hekalu kwatabiriwa Zekaria

1:5-25

2 K.W.K Nazareti; Kuzaliwa kwa Yesu kwatabiriwa Mariamu,

Yudea ambaye azuru Elisabeti

1:26-56

2 K.W.K. Nchi yenye vilima Kuzaliwa kwa Yohanna Mbatizaji; baadaye maisha

ya Yudea yake ya jangwani

1:57-80

2 K.W.K Bethlehemu Kuzaliwa kwa Yesu (Neno, ambaye c. Okt. 1 kupitia kwake vitu vingine

vyote vilikuwa

vimekuja kuwapo) akiwa mzao

wa Abrahamu na wa Daudi Mt 1:1-25

2:1-7 1:1-5, 9-14

Karibu Malaika atangaza habari njema;

Bethlehemu wachungaji wazuru mtoto

2:8-20

Bethelhemu Yesu atahiriwa (siku ya 8)

Yerusalemu atokezwa hekaluni (baada ya siku ya 40)

2:21-38

1 K.W.K. Yerusalemu; Wanajimu; kukimbilia Misri; au 1 W.K. Bethlehemu; watoto wauawa;

kurejea kwa Yesu

2:1-23

Nazareti; 2:39, 40

12 W.K. Yerusalemu Yesu mwenye miaka kumi na miwili kwenye

Kupitwa; aenda nyumbani

2:41-52

29, masika Nyika, Huduma ya Yohana Mbatizaji

Yordani 3:1-12 1:1-8

3:1-12 1:6-8, 15-28

Mwanzo wa Huduma ya Yesu

29, vuli Mto Yordani Ubatizo na kupakwa mafuta kwa Yesu, azaliwa akiwa

binadamu katika ukoo wa Daudi lakini

ajulishwa rasmi kuwa Mwana wa Mungu

3:13-17 1:9-11

3:21-38 1:32-34

Nyika ya Yudea Kufunga na kushawishwa kwa Yesu

4:1-11 1:12, 13

4:1-13

Bethania ng’ambo ya Ushuhuda wa Yohana Yordani Mbatizaji kuhusu Yesu

1:15, 29-34

Bonde la Yordani Wanafunzi wa kwanza wa Yesu

ya Juu 1:35-51

Kana ya Galilaya; Mwujiza wa kwanza wa Yesu;

Kapernaumu azuru Kapernaumu

2:1-12

30, Kupitwa Yerusalemu Mwadhimisho wa Kupitwa; aondosha wafanya biashara hekaluni

2:13-25

Yerusalemu Mazungumzo ya Yesu na Nikodemo

3:1-21

Yudea Aenoni; Wanafunzi wa Yesu wabatiza;

Yohana atapungua

3:22-36

Tiberia Yohana afungwa gerezani;

Yesu aondoka kwenda Galilaya

4:12; 14:3-5 1:14; 6:17-20

3:19, 20; 4:14 Yoh 4:1-3

Sikari, katika Akiwa njiani kwenda Galilaya

Samaria Yesu afundisha Wasamaria

4:4-43

Huduma Kuu ya Yesu Katika Galilaya

Galilaya Kwanza atangaza, “Ufalme wa

mbinguni umekaribia”

4:17 1:14, 15

4:14, 15 4:44, 45

Nazareti; Kana; Aponya mvulana; asoma utume;

Kapernaumu akataliwa ahamia Kapernaumu;

4:13-16 4:16-31

4:46-54

Bahari ya Galilaya, Mwito wa Simoni na Andrea,

karibu na Yakobo na Yohana

Kapernaumu 4:18-22 1:16-20 5:1-11

Kapernaumu Aponya mpagawa na roho mwovu,

pia mama-mkwe wa Petro na wengine wengi

8:14-17 1:21-34 4:31-41

Galilaya Ziara ya Kwanza ya Galilaya,

na wale wanne waliokwisha kuitwa

4:23-25 1:35-39 4:42, 43

Galilaya Mkoma aponywa; umati mkubwa

wakusanyika kwa Yesu

8:1-4 1:40-45 5:12-16

Kapernaumu Aponya mwenye kupooza

9:1-8 2:1-12 5:17-26

Kapernaumu Mwito wa Mathayo;

karamu na watoza ushuru

9:9-17 2:13-22 5:27-39

Yudea Ahubiri katika masinagogi ya Yudea

4:44

31, Kupitwa Yerusalemu Ahudhuria karamu; aponya

mwanamume; akemea Mafarisayo

5:1-47

Wakirejea Wanafunzi wavunja masuke ya

kutoka Yerusalemu (?) nafaka siku ya Sabato

12:1-8 2:23-28 6:1-5

Galilaya; Bahari ya Aponya mkono siku ya Sabato;

Galilaya arudi kwenye ukingo wa bahari; aponya

12:9-21 3:1-12 6:6-11

Mlima karibu Wale 12 wachaguliwa kuwa mitume

na Kapernaumu 3:13-19 6:12-16

Karibu na Mahubiri ya Mlimani

Kapernaumu 5:1–7:29 6:17-49

Kapernaumu Aponya mtumishi wa ofisa wa jeshi

8:5-13 7:1-10

Naini Afufua mwana wa mjane

7:11-17

Galilaya Yohana gerezani atuma wanafunzi kwa Yesu

11:2-19 7:18-35

Galilaya Majiji yalaumiwa; ufunuo kwa

watoto; nira yenye fadhili

11:20-30

Galilaya Nyayo zapakwa mafuta na mwanamke

mtenda dhambi; kielezi cha wadeni

7:36-50

Galilaya Ziara ya pili ya kuhubiri Galilaya,

akiwa na wale 12

8:1-3

Galilaya Mpagawa na roho mwovu aponywa;

ashtakiwa kukamatana na Beelzebubu

12:22-37 3:19-30

Galilaya Waandishi na Mafarisayo watafuta ishara

12:38-45

Galilaya Wanafunzi wa Yesu ni jamaa zake wa karibu

12:46-50 3:31-35 8:19-21

Bahari ya Galilaya Vielezi: mpanzi, magugu,

vingine; maelezo

13:1-53 4:1-34 8:4-18

Bahari ya Galilaya Tufani yatulizwa katika uvukaji wa ziwa

8:18, 23-27 4:35-41 8:22-25

Gadara, KAS-MAGH Wapagawa wawili wa roho waovu

mwa Bahari ya waponywa; nguruwe wapagawa

Galilaya na roho waovu 8:28-34 5:1-20 8:26-39

Yawezekana Binti Yairo afufuliwa;

kuwa mwanamke aponywa

Kapernaumu 9:18-26 5:21-43 8:40-56

Kapernaumu (?) Aponya wanaume vipofu wawili na

mpagawa na roho mwovu aliye bubu

9:27-34

Nazareti Azuru tena jiji alilolelewa,

na akataliwa tena

13:54-58 6:1-6

Galilaya Safari ya tatu ya Galilaya,

yapanuliwa mitume watumwapo

9:35–11:1 6:6-13 9:1-6

Tiberia Yohana Mbatizaji akatwa kichwa;

hofu za hatia za Herode

14:1-12 6:14-29 9:7-9

32, Kapernaumu (?); Mitume warejea kutoka safari

karibu na KAS-MASH mwa ya kuhubiri; 5,000 walishwa

Kupitwa Bahari ya Galilaya 14:13-21 6:30-44

9:10-17 6:1-13

KAS-MASH mwa Jaribio la kuvika Yesu taji;

Bahari ya Galilaya; atembea juu ya bahari; aponya

Genesareti 14:22-36 6:45-56 6:14-21

Kapernaumu Atambulisha “mkate wa uzima”;

wanafunzi wengi waacha

6:22-71

32, baada Yawezekana kuwa Mapokeo yanayobatilisha Neno la Mungu

ya Kupitwa Kapernaumu 15:1-20 7:1-23 7:1

Foinike; Karibu na Tiro, Sidoni; kisha mpaka Dekapoli;

Dekapoli 4,000 walishwa

15:21-38 7:24–8:9

Magadani Masadukayo na Mafarisayo watafuta

ishara tena

15:39–16:4 8:10-12

KAS-MASH mwa Aonya juu ya chachu ya Mafarisayo;

Bahari ya aponya kipofu

Galilaya; Bethsaida 16:5-12 8:13-26

Kaisaria Yesu Mesiya; atabiri kifo, ufufuo

Filipi 16:13-28 8:27–9:1 9:18-27

Yawezekana kuwa Mgeuko wa sura mbele ya Petro,

Ml. Hermoni Yakobo, na Yohana

17:1-13 9:2-13 9:28-36

Kaisaria Aponya mpagawa na roho mwovu

Filipi ambaye wanafunzi walishindwa kuponya

17:14-20 9:14-29 9:37-43

Galilaya Atabiri tena kifo na ufufuo wake

17:22, 23 9:30-32 9:43-45

Kapernaumu Pesa za Ushuru zatolewa kimwujiza

17:24-27

Kapernaumu Mkuu Zaidi katika Ufalme; kusuluhisha

makosa; rehema

18:1-35 9:33-50 9:46-50

Galilaya; Aondoka Galilaya kwenda kwa

Samaria Sikukuu ya Vibanda; kila kitu chawekwa

kando kwa ajili ya utumishi wa huduma

8:19-22 9:51-62 7:2-10

Huduma ya Baadaye ya Yesu Katika Yudea_

32, Sikukuu Yerusalemu Ufundishaji peupe wa Yesu

ya Vibanda kwenye Sikukuu ya Vibanda

7:11-52

Yerusalemu Akifundisha baada ya Sikukuu; aponya kipofu

8:12–9:41

Yawezekana Wale 70 watumwa kuhubiri;

kuwa Yudea kurejea kwao, ripoti yao

10:1-24

Yudea; Bethania Asimulia juu ya Msamaria mwenye ujirani;

nyumbani kwa Martha, Mariamu

10:25-42

Yawezekana Afundisha tena sala ya kiolezo;

kuwa Yudea udumifu katika kuomba

11:1-13

Yawezekana Akanusha shtaka bandia;

kuwa Yudea aonyesha kizazi ni cha kuhukumiwa

11:14-36

Yawezekana Penye meza ya Farisayo,

kuwa Yudea Yesu alaani vikali wanafiki

11:37-54

Yawezekana Hotuba juu ya utunzi wa Mungu;

kuwa Yudea mtumishi wa nyumba mwaminifu

12:1-59

Yawezekana Aponya mwanamke aliyelemaa siku

kuwa Yudea ya Sabato; vielezi vitatu

13:1-21

32, Sikukuu Yerusalemu Yesu kwenye Sikukuu ya Wakfu;

ya Wakfu Mchungaji Mwema

10:1-39

Huduma ya Baadaye ya Yesu Mashariki mwa Yordani

Ng’ambo ya Wengi watia imani katika Yesu

Yordani Perea Afundisha katika majiji, vijiji,

(ng’ambo ya akisonga kuelekea Yerusalemu

Yordani) 13:22 10:40-42

Perea Kuingia katika Ufalme; tisho la

Herode; nyumba yawa ukiwa

13:23-35

Yawezekana Unyenyekevu; kielezi cha mlo

kuwa Perea mtukufu wa jioni

14:1-24

Yawezekana Kuhesabu gharama ya uanafunzi

kuwa Perea 14:25-35

Yawezekana Vielezi: kondoo waliopotea, sarafu

kuwa Perea iliyopotea, mwana mpotevu

15:1-32

Yawezekana Vielezi: mtumishi wa nyumba asiye

kuwa Perea mwadilifu, tajiri na Lazaro

16:1-31

Yawezekana Msamaha na imani; watumwa wasiofaa kitu

kuwa Perea 17:1-10

Bethania Lazaro afufuliwa kutoka kwa wafu na Yesu

11:1-46

Yerusalemu; Ushauri wa Kayafa kuhusu Yesu

Efraimu ; Yesu aondoka

11:47-54

Samaria; Aponya na kufundisha akiwa njiani

Galilaya kupitia Samaria na Galilaya

17:11-37

Samaria au Vielezi: mjane msumbufu,

Galilaya Farisayo na mtoza ushuru

18:1-14

Perea Ashuka kupitia Perea; afundisha juu ya talaka

19:1-12 10:1-12

Perea Apokea na kubariki watoto

19:13-15 10:13-16 18:15-17

Perea Kijana mwanamume tajiri; kielezi cha wafanya

kibarua katika shamba la mizabibu

19:16–20:16 10:17-31 18:18-30

Yawezekana Mara ya tatu Yesu atabiri kifo chake, ufufuo

kuwa Perea 20:17-19 10:32-34 18:31-34

Yawezekana Ombi la Yakobo na Yohana la kiti katika Ufalme

kuwa Perea 20:20-28 10:35-45

Yeriko Kupitia Yeriko, aponya wanaume vipofu wawili;

amzuru Zakayo; kielezi cha mina kumi

20:29-34 10:46-52 18:35–19:28

Huduma ya Mwisho ya Yesu Katika Yerusalemu

Nisani 8, 33 Bethania Awasili Bethania siku

6 kabla ya Kupitwa

11:55–12:1

Nisani 9 Bethania Sikukuu katika nyumba ya Simoni mkoma;

Mariamu ampaka Yesu mafuta;

Wayahudi waja kuona Yesu na Lazaro

26:6-13 14:3-9 12:2-11

Bethania- Uingiaji wa shangwe ya ushindi wa

Yerusalemu Kristo katika Yerusalemu

21:1-11, 14-17 11:1-11

19:29-44 12:12-19

Nisani 10 Bethania- Mtini usiozaa walaaniwa;

Yerusalemu usafishaji wa pili wa hekalu

21:18, 19, 12, 13 11:12-17

19:45, 46

Yerusalemu Makuhani wakuu na waandishi wafanya

njama ya kumwangamiza Yesu

11:18, 19 19:47, 48

Yerusalemu Mazungumzo pamoja na Wagiriki;

kutoamini kwa Wayahudi

12:20-50

Nisani 11 Bethania- Mtini usiozaa wapatikana umenyauka

Yerusalemu 21:19-22 11:20-25

Yerusalemu, Mamlaka ya Kristo yatiliwa shaka;

hekalu kielezi cha wana wawili

21:23-32 11:27-33 20:1-8

Yerusalemu, Vielezi vya wakulima waovu, karamu ya ndoa

hekalu 21:33–22:14 12:1-12 20:9-19

Yerusalemu, Maswali ya kutega juu ya kodi, ufufuo, amri

hekalu 22:15-40 12:13-34 20:20-40

Yerusalemu, Swali la Yesu la kunyamazisha juu

hekalu ya ukoo wa Mesiy a

22:41-46 12:35-37 20:41-44

Yerusalemu, Laana kali yenye kuchoma waandishi

hekalu na Mafarisayo

23:1-39 12:38-40 20:45-47

Yerusalemu, Sarafu za thamani ndogo za mjane

hekalu 12:41-44 21:1-4

Mlima wa Utabiri wa anguko la Yerusalemu, kuwapo

Mizeituni kwa Yesu, mwisho wa mfumo

24:1-51 13:1-37 21:5-38

Mlima wa Vielezi: mabikira kumi, talanta, kondoo na mbuzi

Mizeituni 25:1-46

Nisani 12 Yerusalemu Viongozi wa kidini wafanya hila

ya kifo cha Yesu

26:1-5 14:1, 2 22:1, 2

Yerusalemu Yuda akubaliana bei na makuhani

ya kumsaliti Yesu

26:14-16 14:10, 11 22:3-6

Nisani 13 Karibu na katika Mipango ya Kupitwa

(Alhamisi Yerusalemu 26:17-19 14:12-16 22:7-13

alasiri)

Nisani 14 Yerusalemu Karamu ya Kupitwa yaliwa na wale 12

26:20, 21 14:17, 18 22:14-18

Yerusalemu Yesu aosha nyayo za mitume wake

13:1-20

Yerusalemu Yuda atambulishwa kuwa msaliti na afukuzwa 26:21-25 14:18-21

22:21-23 13:21-30

Yerusalemu Kijio cha Ukumbusho chaanzishwa

pamoja na wale 11

Mt 26:26-29 14:22-25

Lk 22:19, 20, 24-30 [ 11: 23-25]

Yerusalemu Mkano wa Petro na mtawanyo wa

mitume watabiriwa

26:31-35 14:27-31

22:31-38 13:31-38

Yerusalemu Msaidizi; kupendana; dhiki; sala ya Yesu 14:1–17:26

Gethsemane Maumivu makali katika bustani; kusalitiwa na

kukamatwa kwa Yesu

26:30, 36-56 14:26, 32-52

22:39-53 18:1-12

Yerusalemu Aulizwa maswali na Anasi; ahukumiwa

na Kayafa, Sanhedrini; Petro akana

26:57–27:1 14:53–15:1

22:54-71 18:13-27

Yerusalemu Yuda msaliti ajinyonga

27:3-10 [1: 18, 19]

Yerusalemu Mbele ya Pilato, kisha Herode, na kisha

kurudishwa mbele ya Pilato

27:2, 11-14 15:1-5

23:1-12 18:28-38

Yerusalemu Atolewa auwawe, baada ya Pilato

kutafuta aachiliwe

27:15-30 15:6-19

23:13-25 18:39–19:16

(c. saa 9:00 alasiri,

Ijumaa) Golgotha, Kifo cha Yesu penye mti wa mateso,

Yerusalemu na matukio yenye kufuatia

27:31-56 15:20-41

23:26-49 19:16-30

Yerusalemu Mwili wa Yesu waondolewa kutoka kwenye

mti wa mateso na kuzikwa

27:57-61 15:42-47

23:50-56 19:31-42

Nisani 15 Yerusalemu Makuhani na Mafarisayo waweka ulinzi

kwa ajili ya kaburi

27:62-66

Nisani 16 Yerusalemu Ufufuo wa Yesu na matukio ya siku hiyo

na ujirani 28:1-15 16:1-8

24:1-49 20:1-25

b. Nisani 16 Yerusalemu; Kisha utokeaji mbalimbali

Galilaya wa Yesu Kristo

28:16-20 [15:5-7]

[1:3-8] 20:26–21:25

Iyyari 25 Mlima wa Kupaa kwa Yesu, siku ya 40 baada ya

Mizeituni, karibu ufufuo wake na Bethania [1:9-12]

24:50-53

Maswali juu ya chati inayohusu “Matukio Makubwa-Makubwa ya Maisha ya Kidunia ya Yesu”:

(a) Taja baadhi ya matukio yenye kutokeza katika huduma ya Yesu kufikia wakati wa kufungwa gerezani kwa Yohana Mbatizaji.

(b) Taja mahali na wakati wa matukio yafuatayo: (1) Kuchaguliwa kwa wale mitume 12. (3) Mahubiri ya Mlimani. (4) Ule mgeuko wa sura. (5) Kuinuliwa kwa Lazaro kutoka kwa wafu. (6) Ziara ya Yesu kwenye makao ya Zakayo.

(c) Taja baadhi ya miujiza yenye kutokeza ya Yesu; eleza ni wakati gani na wapi ilitukia.

(d) Ni nini baadhi ya matukio makuu kuhusu Yesu yaliyotukia kuanzia Nisani 8 mpaka Nisani 16, 33 W.K.?

(e) Ni vipi vilivyokuwa baadhi ya vielezi vya kutokeza ambavyo Yesu alitoa wakati wa huduma yake ya kidunia?

[Chati katika ukurasa wa 294-297]

Vifananishi: b. chasimamia “baada”; k. chasimamia “kabla”; c. chasimamia “karibu.”

Tarehe Tukio Mrejezo

4026 K.W.K. Kuumbwa kwa Adamu Mwa. 2:7

b. 4026 K.W.K. Agano la Kiedeni lafanywa,

unabii wa kwanza Mwa. 3:15

k. 3896 K.W.K. Kaini amwua Habili Mwa. 4:8

3896 K.W.K. Kuzaliwa kwa Sethi Mwa. 5:3

3404 K.W.K. Kuzaliwa kwa Henoko mwadilifu Mwa. 5:18

3339 K.W.K. Kuzaliwa kwa Methusela Mwa. 5:21

3152 K.W.K. Kuzaliwa kwa Lameki Mwa. 5:25

3096 K.W.K. Kifo cha Adamu Mwa. 5:5

3039 K.W.K. Kuhamishwa kwa Henoko; amaliza Mwa. 5:23, 24;

kipindi chake cha kutoa unabii Yuda 14

2970 K.W.K. Kuzaliwa kwa Nuhu Mwa. 5:28, 29

2490 K.W.K. Tamko la Mungu kwa ainabinadamu Mwa. 6:3

2470 K.W.K. Kuzaliwa kwa Yafethi Mwa. 5:32; 9:24; 10:21

2468 K.W.K. Kuzaliwa kwa Shemu Mwa. 7:11; 11:10

2370 K.W.K. Kifo cha Methusela Mwa. 5:27

Maji ya Furiko yaanguka (katika vuli) Mwa. 7:6, 11

2369 K.W.K. Kufanywa kwa agano baada ya Furiko Mwa. 8:13; 9:16

2368 K.W.K. Kuzaliwa kwa Arfaksadi Mwa. 11:10

b. 2269 K.W.K. Kujengwa kwa Mnara wa Babeli Mwa. 11:4

2020 K.W.K. Kifo cha Nuhu Mwa. 9:28, 29

2018 K.W.K. Kuzaliwa kwa Abrahamu Mwa. 11:26, 32; 12:4

1943 K.W.K. Abrahamu avuka Frati akiwa njiani Mwa. 12:4, 7;

kwenda Kanaani; agano la Kiabrahamu Kut. 12:40;

laanza kutumika; mwanzo wa kipindi cha Gal. 3:17

miaka 430 mpaka agano la Torati

k. 1933 K.W.K. Lutu aokolewa; Mwa. 14:16, 18;

Abrahamu azuru Melkizedeki 16:3

1932 K.W.K. Ishmaeli azaliwa Mwa. 16:15, 16

1919 K.W.K. Agano la tohara lafanywa Mwa. 17:1, 10, 24

Kuhukumiwa kwa Sodoma na Gomora Mwa. 19:24

1918 K.W.K. Kuzaliwa kwa Isaka, mrithi wa kweli; Mwa. 21:2, 5;

mwanzo wa ile ‘miaka ipatayo 450’ Mdo. 13:17-20, NW

1913 K.W.K. Kuachishwa kunyonya kwa Isaka; Mwa. 21:8; 15:13;

Ishmaeli aondoshwa; mwanzo wa ile Mdo. 7:6

miaka 400 ya masumbuko

1881 K.W.K. Kifo cha Sara Mwa. 17:17; 23:1

1878 K.W.K. Ndoa ya Isaka na Rebeka Mwa. 25:20

1868 K.W.K. Kifo cha Shemu Mwa. 11:11

1858 K.W.K. Kuzaliwa kwa Esau and Yakobo Mwa. 25:26

1843 K.W.K. Kifo cha Abrahamu Mwa. 25:7

1818 K.W.K. Esau afunga ndoa na wake wa Mwa. 26:34

kwanza wawili

1795 K.W.K. Kifo cha Ishmaeli Mwa. 25:17

1781 K.W.K. Yakobo akimbilia Harani;

njozi yake kule Betheli Mwa. 28:2, 13, 19

1774 K.W.K. Yakobo afunga ndoa na Lea Mwa. 29:23-30

na Raheli

1767 K.W.K. Kuzaliwa kwa Yusufu Mwa. 30:23, 24

1761 K.W.K. Yakobo arejea Kanaani kutoka Harani Mwa. 31:18, 41

c. 1761 K.W.K. Yakobo ashindana na malaika; Mwa. 32:24-28

aitwa Israeli

1750 K.W.K. Yusufu auzwa kama mtumwa na ndugu

zake Mwa. 37:2, 28

1738 K.W.K. Kifo cha Isaka Mwa. 35:28, 29

1737 K.W.K. Yusufu afanywa waziri mkuu wa Misri Mwa. 41:40, 46

1728 K.W.K. Yakobo na familia yake yote waingia Misri Mwa. 45:6;

46:26; 47:9

1711 K.W.K. Kifo cha Yakobo Mwa. 47:28

1657 K.W.K. Kifo cha Yusufu Mwa. 50:26

k. 1613 K.W.K. Kujaribiwa kwa Ayubu Ayu. 1:8; 42:16

b. 1600 K.W.K. Misri yafikia umaarufu wa kuwa taifa la Kut. 1:8

kwanza lenye uwezo zaidi la ulimwengu

1593 K.W.K. Kuzaliwa kwa Musa Kut. 2:2, 10

1553 K.W.K. Musa ajitoa awe mkombozi; Kut. 2:11, 14, 15;

akimbilia Midiani Mdo. 7:23

c. 1514 K.W.K. Musa kwenye kichaka cha miiba Kut. 3:2

chenye moto

1513 K.W.K. Kupitwa; Waisraeli waondoka Misri; Kut. 12:12;

ukombozi wa Bahari Shamu; uwezo wa 14:27, 29, 30;

Misri watikiswa; mwisho wa kipindi cha Mwa. 15:13, 14

miaka 400 cha masumbuko

Agano la Sheria lafanywa kwenye Kut. 24:6-8

Ml. Sinai (Horebu)

Mwisho wa kipindi cha miaka 430 tangu Gal. 3:17;

kuanza kutumika kwa agano la Kiabrahamu Kut. 12:40

Musa aandika Mwanzo nyikani;

uandikaji wa Biblia waanza Yn. 5:46

1512 K.W.K. Ujenzi wa Tabenakulo wakamilika Kut. 40:17

Kuwekwa kwa ukuhani wa Kiharuni Law. 8:34-36

Musa akamilisha Kutoka na Walawi Law. 27:34; Hes. 1:1

c. 1473 K.W.K. Musa akamilisha kitabu cha Ayubu Ayu. 42:16, 17

1473 K.W.K. Musa akamilisha Hesabu katika

Nyanda za Moabu Hes. 35:1; 36:13

Agano pamoja na Israeli katika Moabu Kum. 29:1

Musa aandika Kumbukumbu la Torati Kum. 1:1, 3

Musa afa katika Ml. Nebo katika Moabu Kum. 34:1, 5, 7

Israeli waingia Kanaani chini ya Yoshua Yos. 4:19

1467 K.W.K. Ushindi mkuu wa bara wakamilishwa; Mdo. 13:17-20, NW

mwisho wa ‘miaka ipatayo 450’ ya Yos. 11:23; 14:7, 10-15

c. 1450 K.W.K. Kitabu cha Yoshua chakamilishwa Yos. 1:1; 24:26

Kifo cha Yoshua Yos. 24:29

1117 K.W.K. Samweli ampaka Sauli mafuta kuwa 1 Sam. 10:24;

mfalme wa Israeli Mdo. 13:21

1107 K.W.K. Kuzaliwa kwa Daudi katika Bethlehemu 1 Sam. 16:1

c. 1100 K.W.K. Samweli akamilisha kitabu cha Waamuzi Amu. 21:25

c. 1090 K.W.K. Samweli akamilisha kitabu cha Ruthu Rut. 4:18-22

c. 1078 K.W.K. Kitabu cha 1 Samweli chakamilishwa 1 Sam. 31:6

1077 K.W.K. Daudi awa mfalme wa Yuda katika Hebroni 2 Sam. 2:4

1070 K.W.K. Daudi awa mfalme juu ya Israeli yote;

afanya Yerusalemu jiji kuu lake 2 Sam. 5:3-7

b. 1070 K.W.K. Sanduku la Agano laletwa Yerusalemu; 2 Sam. 6:15;

agano kwa ajili ya ufalme lafanywa 7:12-16

pamoja na Daudi

c. 1040 K.W.K. Gadi na Nathani wakamilisha 2 Samweli 2 Sam. 24:18

1037 K.W.K. Sulemani amrithi Daudi kuwa mfalme

wa Israeli 1 Fal. 1:39; 2:12

1034 K.W.K. Ujenzi wa hekalu na Sulemani waanza 1 Fal. 6:1

1027 K.W.K. Hekalu katika Yerusalemu lakamilishwa 1 Fal. 6:38

c. 1020 K.W.K. Sulemani akamilisha Wimbo Ulio Bora Wimbo Ulio Bora 1:1

k. 1000 K.W.K. Sulemani akamilisha kitabu cha Mhubiri Mhu. 1:1

997 K.W.K. Rehoboamu amrithi Sulemani; ufalme 1 Fal. 11:43;

wagawanyika; Yeroboamu aanza utawala

akiwa mfalme wa Israeli 12:19, 20

993 K.W.K. Shishaki avamia Yuda na atwaa hazina

kutoka hekaluni 1 Fal. 14:25, 26

980 K.W.K. Abiyamu (Abiya) amrithi Rehoboamu kuwa

mfalme wa Yuda 1 Fal. 15:1, 2

977 K.W.K. Asa amrithi Abiyamu kuwa mfalme

wa Yuda 1 Fal. 15:9, 10

c. 976 K.W.K. Nadabu amrithi Yeroboamu kuwa

mfalme wa Israeli 1 Fal. 14:20

c. 975 K.W.K. Baasha amrithi Nadabu kuwa mfalme

wa Israeli 1 Fal. 15:33

c. 952 K.W.K. Ela amrithi Baasha kuwa mfalme

wa Israeli 1 Fal. 16:8

c. 951 K.W.K. Zimri amrithi Ela kuwa mfalme

wa Israeli 1 Fal. 16:15

Omri na Tibni wamrithi Zimri kuwa 1 Fal. 16:21

wafalme wa Israeli

c. 947 K.W.K. Omri atawala akiwa mfalme wa Israeli

pekee 1 Fal. 16:22, 23

c. 940 K.W.K. Ahabu amrithi Omri kuwa mfalme

wa Israeli 1 Fal. 16:29

936 K.W.K. Yehoshafati amrithi Asa kuwa mfalme

wa Yuda 1 Fal. 22:41, 42

c. 919 K.W.K. Ahazia amrithi Ahabu kuwa mfalme

pekee wa Israeli 1 Fal. 22:51, 52

c. 917 K.W.K. Yehoramu wa Israeli amrithi Ahazia

kuwa mfalme pekee 2 Fal. 3:1

913 K.W.K. Yehoramu wa Yuda ‘awa mfalme,’

pamoja na Yehoshafati 2 Fal. 8:16, 17, NW

c. 906 K.W.K. Ahazia amrithi Yehoramu kuwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 8:25, 26

c. 905 K.W.K. Malkia Athalia anyakua kiti cha enzi

cha Yuda 2 Fal. 11:1-3

Yehu amrithi Yehoramu kuwa mfalme 2 Fal. 9:24, 27;

wa Israeli 10:36

898 K.W.K. Yehoashi amrithi Ahazia kuwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 12:1

876 K.W.K. Yehoahazi amrithi Yehu kuwa mfalme

wa Israeli 2 Fal. 13:1

c. 859 K.W.K. Yehoashi amrithi Yehoahazi kuwa

mfalme pekee wa Israeli 2 Fal. 13:10

858 K.W.K. Amazia amrithi Yehoashi kuwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 14:1, 2

c. 844 K.W.K. Yeroboamu II amrithi Yehoashi kuwa

mfalme wa Israeli 2 Fal. 14:23

Yona akamilisha kitabu cha Yona Yona 1:1, 2

829 K.W.K. Uzia (Azaria) amrithi Amazia kuwa

mfalme wa Yuda 2 Fal. 15:1, 2

c. 820 K.W.K. Kitabu cha Yoeli labda chaandikwa Yoe. 1:1

c. 804 K.W.K. Amosi akamilisha kitabu cha Amosi Amo. 1:1

c. 792 K.W.K. Zekaria atawala akiwa mfalme wa Israeli

(miezi 6) 2 Fal. 15:8

c. 791 K.W.K. Shalumu amrithi Zekaria kuwa mfalme

wa Israeli 2 Fal. 15:13, 17

Menahemu amrithi Shalumu kuwa mfalme wa Israeli

c. 780 K.W.K. Pekahia amrithi Menahemu kuwa mfalme

wa Israeli 2 Fal. 15:23

c. 778 K.W.K. Peka amrithi Pekahia kuwa mfalme

wa Israeli 2 Fal. 15:27

c. 778 K.W.K. Isaya aanza kutoa unabii Isa. 1:1; 6:1

777 K.W.K. Yothamu amrithi Uzia (Azaria) kuwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 15:32, 33

c. 761 K.W.K. Ahazi amrithi Yothamu kuwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 16:1, 2

c. 758 K.W.K. Hoshea ‘aanza kutawala’ akiwa mfalme

wa Israeli 2 Fal. 15:30, NW

745 K.W.K. Hezekia amrithi Ahazi kuwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 18:1, 2

b. 745 K.W.K. Hosea akamilisha kitabu cha Hosea Hos. 1:1

740 K.W.K. Ashuru yatiisha Israeli, yatwaa Samaria 2 Fal. 17:6, 13, 18

732 K.W.K. Senakeribu avamia Yuda 2 Fal. 18:13

b. 732 K.W.K. Isaya akamilisha kitabu cha Isaya Isa. 1:1

k. 717 K.W.K. Mika akamilisha kitabu cha Mika Mik. 1:1

c. 717 K.W.K. Utungaji wa Mithali wakamilishwa Mit. 25:1

716 K.W.K. Manase amrithi Hezekia kuwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 21:1

661 K.W.K. Amoni amrithi Manase kuwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 21:19

659 K.W.K. Yosia amrithi Amoni kuwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 22:1

k. 648 K.W.K. Sefania akamilisha kitabu cha Sefania Sef. 1:1

647 K.W.K. Yeremia apewa utume kuwa nabii Yer. 1:1, 2, 9, 10

k. 632 K.W.K. Nahumu akamilisha kitabu cha Nahumu Nah. 1:1

632 K.W.K. Ninawi yaanguka kwa Wakaldayo na Wamedi Nah. 3:7

Babuloni sasa katika njia ya kuwa taifa la tatu

lenye uwezo zaidi la ulimwengu

628 K.W.K. Yehoahazi, mrithi wa Yosia, atawala akiwa

mfalme wa Yuda 2 Fal. 23:31

Yehoyakimu amrithi Yehoahazi akiwa mfalme

wa Yuda 2 Fal. 23:36

c. 628 K.W.K. Habakuki akamilisha kitabu cha Habakuki Hab. 1:1

625 K.W.K. Nebukadreza (II) awa mfalme wa Babuloni;

mwaka wa kwanza wa utawala huhesabiwa

kutoka Nisani ya 624 K.W.K. Yer. 25:1

620 K.W.K. Nebukadreza afanya Yehoyakimu kuwa

mfalme msaidizi 2 Fal. 24:1

618 K.W.K. Yehoyakini awa mfalme baada ya Yehoyakimu

katika Yuda 2 Fal. 24:6, 8

617 K.W.K. Nebukadreza apeleka mateka wa Kiyahudi

wa kwanza mpaka Babuloni Dan. 1:1-4;

Sedekia afanywa kuwa mfalme wa Yuda 2 Fal. 24:12-18

613 K.W.K. Ezekieli aanza kutoa unabii Eze. 1:1-3

609 K.W.K. Nebukadreza aja juu ya Yuda mara ya tatu;

aanza kuzingira Yerusalemu 2 Fal. 25:1, 2

607 K.W.K. Mwezi wa tano (Abi), hekalu lateketezwa 2 Fal. 25:8-10;

na Yerusalemu kuharibiwa Yer. 52:12-14

Mwezi wa saba, Wayahudi waacha Yuda;

“nyakati zilizowekwa za mataifa” 2 Fal. 25:25, 26;

zaanza kuhesabiwa Luka 21:24, NW

Yeremia aandika Maombolezo Mao. utangulizi, LXX

c. 607 K.W.K. Obadia aandika kitabu cha Obadia Oba. 1

c. 591 K.W.K. Ezekieli akamilisha kitabu cha

Ezekieli Eze. 40:1; 29:17

580 K.W.K. Vitabu vya 1 na 2 Wafalme na Yer. 52:31;

Yeremia vyakamilishwa 2 Fal. 25:27

539 K.W.K. Babuloni yaanguka kwa Wamedi na

Waajemi; Umedi-Uajemi yawa taifa la

nne lenye uwezo zaidi la ulimwengu Dan. 5:30, 31

537 K.W.K. Amri ya Koreshi Mwajemi ya kuruhusu

Wayahudi 2 Nya. 36:22, 23;

warejee Yerusalemu yaanza kutenda;

ukiwa wa Yerusalemu wa Yer. 25:12;

miaka 70 wamalizika 29:10

c. 536 K.W.K. Danieli akamilisha kitabu cha Daniel Dan. 10:1

536 K.W.K. Msingi wa hekalu wawekwa na Zerubabeli Ezra 3:8-10

522 K.W.K. Kazi ya ujenzi wa hekalu yapigwa

marufuku Ezra 4:23, 24

520 K.W.K. Hagai akamilisha kitabu cha Hagai Hag. 1:1

518 K.W.K. Zekaria akamilisha kitabu cha Zekaria Zek. 1:1

515 K.W.K. Zerubabeli akamilisha hekalu la pili Ezra 6:14, 15

c. 475 K.W.K. Mordekai akamilisha kitabu cha Esta Esta 3:7; 9:32

468 K.W.K. Ezra na makuhani warejea Yerusalemu Ezra 7:7

c. 460 K.W.K. Ezra akamilisha vitabu vya

1 na 2 Nyakati na Ezra; Ezra 1:1;

mtungo wa mwisho wa Zaburi 2 Nya. 36:22

455 K.W.K. Kuta za Yerusalemu zajengwa upya Neh. 1:1; 2:1, 11;

na Nehemia; unabii wa majuma 6:15; 70 waanza kutimizwa Dan. 9:24

b. 443 K.W.K. Nehemia akamilisha kitabu cha

Nehemia Neh. 5:14

Malaki akamilisha kitabu cha Malaki Mal. 1:1

406 K.W.K. Kujengwa upya kwa Yerusalemu kwa

wazi kwakamilika Dan. 9:25

332 K.W.K. Ugiriki, taifa la tano lenye uwezo zaidi

la ulimwengu, yatawala Yudea Dan. 8:21

c. 280 K.W.K. Septuagint ya Kigiriki yaanzwa

165 K.W.K. Kuwekwa wakfu upya kwa hekalu baada

ya kuchafuliwa na ibada-sanamu

ya Kigiriki; Sikukuu ya Wakfu Yn. 10:22

63 K.W.K. Rumi, taifa la sita lenye uwezo zaidi la Yn. 19:15;

ulimwengu, yatawala Yerusalemu Ufu. 17:10

c. 37 K.W.K. Herode (awekwa kuwa mfalme na Rumi)

aingia Yerusalemu kwa vishindo

2 K.W.K. Kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji na

kwa Yesu Luka 1:60; 2:7

29 W.K. Yohana na Yesu waanza huduma zao Luka 3:1, 2, 23

33 W.K. Nisani 14: Yesu awa dhabihu yenye Luka 22:20;

kuweka msingi wa agano jipya; atundikwa 23:33

Nisani 16: ufufuo wa Yesu Mt. 28:1-10

Sivani 6, Pentekoste: kumiminwa kwa roho; Petro

afungua njia kwa ajili ya Wayahudi

waingie kwenye kundi la Kikristo Mdo. 2:1-17, 38

36 W.K. Mwisho wa majuma 70 ya miaka; Petro Dan. 9:24-27;

amzuru Kornelio, wa kwanza wa watu Mdo. 10:1, 45

wasio Wayahudi wasiotahiriwa kuingia

katika kundi la Kikristo

c. 41 W.K. Mathayo aandika Gospeli yenye kichwa “Mathayo”

c. 47-48 W.K. Paulo aanza safari ya kwanza ya

umisionari Mdo. 13:1–14:28

c. 49 W.K. Baraza Linaloongoza laamua kupinga takwa

la kwamba waamini kutoka mataifa

watahiriwe Mdo. 15:28, 29

c. 49-52 W.K. Safari ya pili ya umisionari

ya Paulo Mdo. 15:36–18:22

c. 50 W.K. Paulo aandika 1 Wathesalonike kutoka

Korintho 1 The. 1:1

c. 51 W.K. Paulo aandika 2 Wathesalonike kutoka

Korintho 2 The. 1:1

c. 50-52 W.K. Paulo aandika barua yake kwa Wagalatia

kutoka Korintho au Antiokia ya Shamu Gal. 1:1

c. 52-56 W.K. Safari ya tatu ya umisionari ya

Paulo Mdo. 18:23–21:19

c. 55 W.K. Paulo aandika 1 Wakorintho kutoka Efeso 1 Kor.15:32;

na 2 Wakorintho kutoka Makedonia 2 Kor. 2:12, 13

c. 56 W.K. Paulo aandika barua kwa Warumi kutoka

Korintho Rum. 16:1

c. 56-58 W.K. Luka aandika Gospeli yenye kichwa

“Luka” Luka 1:1, 2

c. 60-61 W.K. Kutoka Rumi Paulo aandika: Waefeso Efe. 3:1

Wafilipi Flp. 4:22

Wakolosai Kol. 4:18

Filemoni Flm. 1

c. 61 W.K. Paulo aandika barua kwa Waebrania

kutoka Rumi Heb. 13:24; 10:34

Luka akamilisha kitabu cha Matendo

katika Rumi

k. 62 W.K. Yakobo, ndugu ya Yesu, aandika barua

yenye kichwa “Yakobo” kutoka

Yeruselemu Yak. 1:1

c. 60-65 W.K. Marko aandika Gospeli yenye kichwa

“Marko”

c. 61-64 W.K. Paulo aandika 1 Timotheo kutoka

Makedonia 1 Tim. 1:3

Paulo aandika Tito kutoka Makedonia (?) Tito 1:5

c. 62-64 W.K. Petro aandika 1 Petro kutoka Babuloni 1 Pet. 1:1;

1Pet. 5:13

c. 64 W.K. Petro aandika 2 Petro kutoka Babuloni (?) 2 Pet. 1:1

c. 65 W.K. Paulo aandika 2 Timotheo kutoka Rumi 2 Tim. 4:16-18

Yuda, ndugu ya Yesu, aandika “Yuda” Yuda 1, 17, 18

70 W.K. Yerusalemu na hekalu lalo laharibiwa na Dan. 9:27;

Warumi Mt. 23:37, 38; Luka 19:42-44

c. 96 W.K. Yohana, kwenye Patmo, aandika Ufunuo Ufu. 1:9

c. 98 W.K. Yohana aandika Gospeli yenye kichwa Yn. 21:22, 23

“Yohana” na barua zake 1, 2, na

3 Yohana; uandikaji wa Biblia wakamilishwa

c. 100 W.K. Yohana, wa mwisho kati ya mitume, afa 2 The. 2:7

ANGALIA: Yapaswa kukumbukwa kwamba ijapokuwa nyingi za tarehe hizi zimethibitishwa kabisa, katika kisa cha baadhi zazo, tarehe zisizo kamili zimetolewa, zikitegemea uthibitisho uliopo. Kusudi la chati hii si kuweka tarehe zisizoweza kubadilika kwa kila tukio bali ni kusaidia wanafunzi wa Biblia wajue matukio yanaanguka wapi katika mkondo wa wakati na kuona uhusiano wa moja na jingine.

Maswali juu ya “Chati ya Tarehe za Kihistoria Zenye Kutokeza” na “Jedwali ya Vitabu vya Biblia”:

(a) Kwa kulinganisha chati hizi mbili, taja baadhi ya manabii na waandikaji wa Biblia walioishi (1) kabla ya kusimamishwa kwa ufalme wa Israeli katika 1117 K.W.K., (2) wakati wa falme za Israeli na Yuda, (3) wakati wa tangu mwanzo wa uhamisho katika Babuloni mpaka kukamilishwa kwa orodha ya Andiko la Kiebrania.

(b) Onyesha wakati wa uandikaji wa barua za Paulo kwa kuhusiana na safari zake za umisionari.

(c) Ni mambo gani mengine ya kupendeza unayoona kuhusu wakati wa uandikaji wa vitabu vingine vya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo?

(d) Husisha watu wafuatao na tukio fulani maarufu katika historia ya Biblia, ukieleza kama waliishi kabla au baada ya tukio hilo, au washirikishe na watu wengine walioishi wakati uo huo: Shemu, Samweli, Methusela, Lutu, Mfalme Sauli, Daudi, Ayubu, Mfalme Hoshea wa Israeli, Sulemani, Haruni, Mfalme Sedekia wa Yuda.

(e) Ni matukio gani ya kutokeza yaliyotukia wakati wa maisha ya (1) Nuhu, (2) Abrahamu,(3) Musa?

(f) Ambatanisha tarehe zifuatazo (K.W.K.) na matukio ya kutokeza yaliyoorodheshwa chini: 4026, 2370, 1943, 1513, 1473, 1117, 997, 740, 607, 539, 537, 455.

Kuumbwa kwa Adamu

Agano la Sheria lililofanywa katika Sinai

Yerusalemu likaharibiwa

Wayahudi warejea Yerusalemu baada ya amri ya Koreshi

Uandishi wenye pumzi ya Mungu wa Biblia waanza

Furiko laanza.

Babuloni yaanguka kwa Wamedi na Waajemi

Mfalme wa kwanza wa Israeli apakwa mafuta

Abrahamu avuka Frati; agano la Kiabrahamu laanza kutumika

Falme za Israeli na Yuda zagawanyika

Ufalme wa Kaskazini watiishwa na Ashuru

Kuta za Yerusalemu zajengwa upya na Nehemia

Waisraeli wakombolewa kutoka Misri

Yoshua aongoza Israeli kuingia Kanaani

Ukiwa wa miaka 70 wa Yerusalemu wamalizika

[Chati katika ukurasa wa 298]

JEDWALI YA VITABU VYA BIBLIA

(Tarehe fulani [na mahali palipoandikwa] si hakika. Vifananishi b. chasimamia “baada”; k., “kabla”; na c., “karibu.”)

Vitabu vya Maandiko ya Kiebrania Kabla ya Wakati wa Kawaida (K.W.K.)

Jina Mwandikaji Mahali Uandikaji Wakati

la Kitabu Kilipoandikiwa Ulikamilishwa Uliohusishwa

Mwanzo Musa Nyikani 1513 “Katika

mwanzo”

mpaka 1657

Kutoka Musa Nyikani 1512 1657-1512

Walawi Musa Nyikani 1512 mwezi1 (1512)

Hesabu Musa Nyikani/

Nyanda za

Moabu 1473 1512-1473

Kumbukumbu Musa Nyanda za

Moabu 1473 miezi2 (1473)

Yoshua Yoshua Kanaani c. 1450 1473-c. 1450

Waamuzi Samweli Israeli c. 1100c. 1450–c. 1120

Ruthu Samweli Israeli c. 1090 miaka11 ya

utawala wa waamuzi

1 Samweli Samweli;

Gadi;

Nathani Israeli c. 1078 c. 1180-1078

2 Samweli Gadi;

Nathani Israeli c. 1040 1077–c. 1040

1 na 2

Wafalme Yeremia Yuda/Misri 580 c. 1040-580

1 na 2

Nyakati Ezra Yerusalemu (?) c. 460 Baada

ya 1 Nya. 9:44,

1077-537

Ezra Ezra Yerusalemu c. 460 537–c. 467

Nehemia Nehemia Yerusalemu b.443 456–b. 443

Esta Mordekai Shushani,

Elamu c.475 493–c. 475

Ayubu Musa Nyikani c .1473 Zaidi ya miaka

140 kati ya

1657 na 1473

Zaburi Daudi na wengine c.460

Mithali Sulemani; Yerusalemu c.717

Aguri;

Lemueli

Mhubiri Sulemani Yerusalemu k.1000

Wimbo wa Sulemani Yerusalemu c.1020

Sulemani

Isaya Isaya Yerusalemu b.732 c. 778–b. 732

Yeremia Yeremia Yuda/Misri 580 647-580

Maombolezo Yeremia Karibu na 607

Yerusalemu

Ezekieli Ezekieli Babuloni c.591 613–c. 591

Danieli Danieli Babuloni c.536 618–c. 536

Hosea Hosea Samaria b.745k. 804–b. 745

(Wilaya)

Yoeli Yoeli Yuda c.820 (?)

Amosi Amosi Yuda c.804

Obadia Obadia c.607

Yona Yona c.844

Mika Mika Yuda k.717c. 777-717

Nahumu Nahumu Yuda k.632

Habakuki Habakuki Yuda c.628 (?)

Sefania Sefania Yuda k.648

Hagai Hagai Yerusalemu 520 siku 112 (520)

Zekaria Zekaria Yerusalemu 518 520-518

Malaki Malaki Yerusalemu b. 443

Vitabu vya Maandiko ya Kigiriki Vilivyoandikwa Wakati wa Kawaida (W.K.)

Jina Mwandikaji Mahali Uandikaji Wakati

la Kitabu Kilipoandikiwa Ulikamilishwa Uliohusishwa

Mathayo Mathayo Palestina c.412 K.W.K.–33 W.K.

Marko Marko Rumi c.60-65 29-33 W.K.

Luka Luka Kaisaria c.56-583 K.W.K.–33 W.K.

Yohana Mtume Efeso, Baada ya dibaji

Yohana au karibu c. 98, 29-33 W.K.

Matendo Luka Rumi c.61 33–c. 61 W.K.

Warumi Paulo Korintho c.56

1 Wakorintho Paulo Efeso c.55

2 Wakorintho Paulo Makedonia c.55

Wagalatia Paulo Korintho au c.50-52

Antiokia

ya Shamu

Waefeso Paulo Rumi c.60-61

Wafilipi Paulo Rumi c.60-61

Wakolosai Paulo Rumi c.60-61

1 Wathesalonike Paulo Korintho c.50

2 Wathesalonike Paulo Korintho c.51

1 Timotheo Paulo Makedonia c.61-64

2 Timotheo Paulo Rumi c.65

Tito Paulo Makedonia c.61-64 (?)

Filemoni Paulo Rumi c.60-61

Waebrania Paulo Rumi c.61

Yakobo Yakobo Yerusalemu k.62

(ndugu ya Yesu)

1 Petro Petro Babuloni c.62-64

2 Petro Petro Babuloni (?) c.64

1 Yohana Mtume Efeso, c.98

Yohana au karibu

2 Yohana Mtume Efeso, c.98

Yohana au karibu

3 Yohana Mtume Efeso, c.98

Yohana au karibu

Yuda Yuda Palestina (?) c.65

(ndugu ya Yesu)

Ufunuo Mtume Patmo c.96

Yohana

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki