Wimbo Na. 149
Tunathamini Fidia
Makala Iliyochapishwa
Tumesimama,
mbele zako Yehova,
Upendo mkubwa
Yah ulituonyesha.
Ulitoa mwana mpendwa,
dhabihu.
Twathamini sana
kulipa hatuwezi.
(KORASI)
Alikufa tuwe huru.
Damu yake bei kubwa.
Twashukuru,
kwa moyo wetu wote milele.
Kwa hiari
Yesu alijidhabihu.
Uhai wake
mkamilifu kalipa.
Wanadamu Yesu
akawakomboa.
Sasa uzima tutapata,
bila kifo.
(KORASI)
Alikufa tuwe huru.
Damu yake bei kubwa.
Twashukuru,
kwa moyo wetu wote milele.
(Ona pia Ebr. 9:13, 14; 1 Pet. 1:18, 19.)