Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 18
  • Tunathamini Fidia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tunathamini Fidia
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Tunathamini Fidia
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Ulitoa Mwana Wako Mwenye Thamani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Shangwe Yetu ya Milele
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Ulitoa Mwana Wako Mzaliwa-Pekee
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 18

WIMBO NA. 18

Tunathamini Fidia

Makala Iliyochapishwa

(Luka 22:20)

  1. 1. Twasimama mbele

    za kiti cha enzi,

    Yah ulituonyesha

    Upendo mkubwa.

    Ulitoa Mwana wako

    wa pekee.

    Ni zawadi kubwa sana,

    twaithamini.

    (KORASI)

    Alimwaga damu yake.

    Tupate kuwekwa huru.

    Twashukuru,

    kwa moyo wetu wote milele.

  2. 2. Kwa hiari Yesu

    Katoa dhabihu.

    Na kwa upendo katoa

    Uhai wake.

    Kafungua njia

    Tupate wokovu.

    Sasa tumaini la

    uzima tunalo.

    (KORASI)

    Alimwaga damu yake.

    Tupate kuwekwa huru.

    Twashukuru,

    kwa moyo wetu wote milele.

(Ona pia Ebr. 9:13, 14; 1 Pet. 1:18, 19.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki