Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lfb kur. 106-107
  • Utangulizi wa Sehemu ya 8

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 8
  • Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Kitabu Cha Biblia Namba 11—1Wafalme
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Ufahamu Kutokana na Vitabu Viwili vya Wafalme
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1985
  • Sulemani Atawala kwa Hekima
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
  • Sasa Ndio Wakati wa Kuchukua Hatua
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
Pata Habari Zaidi
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
lfb kur. 106-107
Mfalme Sulemani akitoa uamuzi mama ya mtoto ni nani

Utangulizi wa Sehemu ya 8

Yehova alimbariki Sulemani kwa kumpa hekima nyingi na akampa pendeleo la kujenga hekalu. Hata hivyo, hatua kwa hatua Sulemani alimwacha Yehova. Ikiwa wewe ni mzazi, mweleze mtoto wako jinsi walioabudu sanamu walivyomfanya Sulemani amwasi Mungu. Ufalme uligawanyika na wafalme wabaya wakawafanya watu wawe waasi-imani na waabudu sanamu. Wakati huo, manabii wengi washikamanifu wa Yehova waliteswa na kuuawa. Malkia Yezebeli aliwafanya watu wa ufalme wa kaskazini watumbukie zaidi katika uasi-imani. Hicho kilikuwa kipindi kibaya sana katika historia ya Israeli. Lakini bado kulikuwa na watumishi wengi waaminifu wa Yehova, kutia ndani Mfalme Yehoshafati na nabii Eliya.

MAMBO MAKUU

  • Mtumikie Yehova kwa uaminifu, hata ikiwa watu wa familia yako na marafiki hawafanyi hivyo

  • Ukimwacha Yehova, utapatwa na mabaya; lakini ukishikamana naye, atakubariki

  • Ukihisi kwamba huna tumaini, Yehova atatumia nguvu zake kukusaidia katika njia ambazo hujawahi kuwazia

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki