Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm21 kur. 2-3
  • Ijumaa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ijumaa
  • 2021 Programu ya Kusanyiko la Eneo
  • Habari Zinazolingana
  • Jumapili
    2021 Programu ya Kusanyiko la Eneo
  • Jumamosi
    2021 Programu ya Kusanyiko la Eneo
  • Ijumaa
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2022
  • Ijumaa
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2019
Pata Habari Zaidi
2021 Programu ya Kusanyiko la Eneo
CO-pgm21 kur. 2-3
Picha: 1. Noa amebeba shoka akiangalia miti mirefu msituni. 2. Picha iliyopigwa juu inayoonyesha dunia, nyota, na jua. 3. Picha iliyopigwa juu inayoonyesha nyangumi na mtoto wake.

Ijumaa

“Tusaidie tuwe na imani zaidi”​—Luka 17:5

ASUBUHI

  • 3:20 Video ya Muziki

  • 3:30 Wimbo Na. 5 na Sala

  • 3:40 HOTUBA YA MWENYEKITI: Imani Ina Nguvu Kadiri Gani? (Mathayo 17:19, 20; Waebrania 11:1)

  • 4:10 MFULULIZO: Kwa Nini Tuna Imani . . .

    • • Kwamba Kuna Mungu (Waefeso 2:1, 12; Waebrania 11:3)

    • • Katika Neno la Mungu (Isaya 46:10)

    • • Katika Viwango vya Mungu vya Maadili (Isaya 48:17)

    • • Katika Upendo wa Mungu (Yohana 6:44)

  • 5:05 Wimbo Na.  37 na Matangazo

  • 5:15 DRAMA YA USOMAJI WA BIBLIA: Noa—Imani Ilimchochea Kutii (Mwanzo 6:1–8:22; 9:8-16)

  • 5:45 “Iweni na Imani Nanyi Msiwe na Shaka” (Mathayo 21:21, 22)

  • 6:15 Wimbo Na. 118 na Mapumziko

ALASIRI

  • 7:35 Video ya Muziki

  • 7:45 Wimbo Na. 2

  • 7:50 MFULULIZO: Jenga Imani Yako Kupitia Uumbaji

    • • Nyota (Isaya 40:26)

    • • Bahari (Zaburi 93:4)

    • • Misitu (Zaburi 37:10, 11, 29)

    • • Upepo na Maji (Zaburi 147:17, 18)

    • • Viumbe wa Baharini (Zaburi 104:27, 28)

    • • Miili Yetu (Isaya 33:24)

  • 8:50 Wimbo Na. 148 na Matangazo

  • 9:00 Matendo ya Yehova Yenye Nguvu Yanatuchochea Kuwa na Imani (Isaya 43:10; Waebrania 11:32-35)

  • 9:20 MFULULIZO: Waige Waaminifu, Si Wasio Waaminifu

    • • Abeli, Si Kaini (Waebrania 11:4)

    • • Enoko, Si Lameki (Waebrania 11:5)

    • • Noa, Si Jirani Zake (Waebrania 11:7)

    • • Musa, Si Farao (Waebrania 11:24-26)

    • • Mitume wa Yesu, Si Mafarisayo (Matendo 5:29)

  • 10:15 “Endeleeni Kujijaribu Kama Mko Katika Imani”—Jinsi Gani? (2 Wakorintho 13:5, 11)

  • 10:50 Wimbo Na. 119 na Sala ya Mwisho

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki