Ijumaa
“Yehova Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu”—Mathayo 4:10
Asubuhi
3:20 Video ya Muziki
3:30 Wimbo Na. 74 na Sala
3:40 HOTUBA YA MWENYEKITI: Ibada Safi Ni Nini? (Isaya 48:17; Malaki 3:16)
4:10 DRAMA YA BIBLIA:
Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 2
“Huyu Ni Mwanangu”—Sehemu ya 1 (Mathayo 3:1–4:11; Marko 1:12, 13; Luka 3:1–4:7; Yohana 1:7, 8)
4:40 Wimbo Na. 122 na Matangazo
4:50 MFULULIZO: Unabii wa Kimasihi Watimizwa!—Sehemu ya 1
• Alitambulishwa na Mungu (Zaburi 2:7; Mathayo 3:16, 17; Matendo 13:33, 34)
• Alikuwa Mzao wa Mfalme Daudi (2 Samweli 7:12, 13; Mathayo 1:1, 2, 6)
• Alitiwa Mafuta Kuwa “Masihi Aliye Kiongozi” (Danieli 9:25; Luka 3:1, 2, 21-23)
5:45 Ni Nani Hasa Anayeutawala Ulimwengu? (Marko 12:17; Luka 4:5-8; Yohana 18:36)
6:15 Wimbo Na. 22 na Mapumziko
Alasiri
7:35 Video ya Muziki
7:45 Wimbo Na. 121
7:50 MFULULIZO: Iga Majibu Ambayo Yesu Alimpa Mjaribu!
• Ishi kwa Neno la Yehova (Mathayo 4:1-4)
• Usimjaribu Yehova (Mathayo 4:5-7)
• Mwabudu Yehova Peke Yake (Mathayo 4:10; Luka 4:5-7)
• Itetee Kweli (1 Petro 3:15)
8:50 Wimbo Na. 97 na Matangazo
9:00 MFULULIZO: Jifunze Kuhusu Nchi Ambayo Yesu Aliishi
• Nyika ya Yudea (Mathayo 3:1-4; Luka 4:1)
• Bonde la Yordani (Mathayo 3:13-15; Yohana 1:27, 30)
• Yerusalemu (Mathayo 23:37, 38)
• Samaria (Yohana 4:7-9, 40-42)
• Galilaya (Mathayo 13:54-57)
• Foinike (Luka 4:25, 26)
• Siria (Luka 4:27)
10:10 Yesu Anaona Nini Ndani Yako? (Yohana 2:25)
10:45 Wimbo Na. 34 na Sala ya Mwisho