Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm25 kur. 4-5
  • Jumamosi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Jumamosi
  • Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2025
  • Habari Zinazolingana
  • Jumapili
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2025
  • Ijumaa
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2024
  • Ijumaa
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2025
  • Jumamosi
    Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2024
Pata Habari Zaidi
Programu ya Kusanyiko la Eneo la 2025
CO-pgm25 kur. 4-5
Picha: Mambo makuu ya programu ya Jumamosi. 1. Yohana Mbatizaji akiwa ameketi chini ya mti. 2. Yesu amnyooshea mtu mkono kwa furaha. 3. Wanawake wawili wakizungumza kwenye mkahawa.

Jumamosi

“Bidii kwa ajili ya nyumba yako itanila”​​—⁠Yohana 2:17

Asubuhi

  • 3:20 Video ya Muziki

  • 3:30 Wimbo Na. 93 na Sala

  • 3:40 “Mnatafuta Nini?” (Yohana 1:38)

  • 3:50 DRAMA YA BIBLIA:

    Habari Njema Kulingana na Yesu: Drama ya 2

    “Huyu Ni Mwanangu”—Sehemu ya 2 (Yohana 1:19–2:25)

  • 4:20 Wimbo Na. 54 na Matangazo

  • 4:30 MFULULIZO: Waige Wale Walioipenda Ibada Safi!

    • • Yohana Mbatizaji (Mathayo 11:​7-10)

    • • Andrea (Yohana 1:​35-42)

    • • Petro (Luka 5:​4-11)

    • • Yohana (Mathayo 20:​20, 21)

    • • Yakobo (Marko 3:17)

    • • Filipo (Yohana 1:43)

    • • Nathanaeli (Yohana 1:​45-47)

  • 5:35 UBATIZO: Umuhimu wa Ubatizo Wako (Malaki 3:17; Matendo 19:4; 1 Wakorintho 10:​1, 2)

  • 6:05 Wimbo Na. 52 na Mapumziko

Alasiri

  • 7:35 Video ya Muziki

  • 7:45 Wimbo Na. 36

  • 7:50 MFULULIZO: Masomo Tunayojifunza Kutokana na Muujiza wa Kwanza wa Yesu

    • • Onyesha Huruma (Wagalatia 6:10; 1 Yohana 3:17)

    • • Sitawisha Unyenyekevu (Mathayo 6:​2-4; 1 Petro 5:5)

    • • Uwe Mkarimu (Kumbukumbu la Torati 15:​7, 8; 15:​7, 8; Luka 6:38)

  • 8:20 Jinsi “Mwanakondoo wa Mungu” Huondoa Dhambi (Yohana 1:29; 3:​14-16)

  • 8:45 MFULULIZO: Unabii wa Kimasihi Watimizwa!—Sehemu ya 2

    • • Bidii kwa Ajili ya Nyumba ya Yehova Ilimla (Zaburi 69:9; Yohana 2:​13-17)

    • • Aliwatangazia “Wapole Habari Njema” (Isaya 61:​1, 2)

    • • Aliangaza “Nuru Kuu” Huko Galilaya (Isaya 9:​1, 2)

  • 9:20 Wimbo Na. 117 na Matangazo

  • 9:30 “Ondoeni Vitu Hivi Hapa!” (Yohana 2:​13-16)

  • 10:00 “Nitalisimamisha” (Yohana 2:​18-22)

  • 10:35 Wimbo Na. 75 na Sala ya Mwisho

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki