Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w75 3/1 uku. 120
  • Baraza Inayoongoza ya Mashahidi wa Yehova Yapanuliwa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Baraza Inayoongoza ya Mashahidi wa Yehova Yapanuliwa
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1975
  • Habari Zinazolingana
  • Kushirikiana na Baraza Linaloongoza Leo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Washiriki Wapya wa Baraza Inayoongoza
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1978
  • Baraza Linaloongoza Hufanyaje Kazi Leo?
    Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?
  • Neno la Yehova Laendelea Kusonga Mbele Kasi (1976-1992)
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1975
w75 3/1 uku. 120

Baraza Inayoongoza ya Mashahidi wa Yehova Yapanuliwa

Jamaa ya Betheli ya Brooklyn ilifurahi kupata habari Novemba 28 kwamba ndugu wafuatao walifanywa washiriki wa Baraza Inayoongoza ya mashahidi wa Yehova. Sasa watatumikia pamoja na waliokuwa wakitumikia katika Baraza Inayoongoza. Washiriki wapya ni kama ifuatavyo: W. Lloyd Barry, ambaye kwa sasa ni mwangalizi wa tawi Japan; John C. Booth, ambaye anafanya kazi afisini katika Watchtower Farm; Ewart C. Chitty wa London, England, ambaye ni katibu mwekahazina wa International Bible Students Association; Charles J. Fekel wa Brooklyn, New York, ambaye afanya kazi katika idara ya kuunganisha vitabu ya kiwanda cha Brooklyn; Theodore Jaracz wa United States, ambaye anatumikia kama mwangalizi wa mzunguko; Karl F. Klein wa Betheli ya Brooklyn, ambaye afanya kazi afisini; Albert D. Schroeder, ambaye amekuwa akitumikia kama mwalimu wa Shule ya Huduma ya Ufalme; na Daniel Sydlik, ambaye afanya kazi katika kiwanda cha vitabu katika Betheli ya Brooklyn. Ndugu wote hawa mwishowe watakuwa wakiishi katika makao ya Betheli katika Brooklyn nao watahudhuria mikutano ya kawaida ya Baraza Inayoongoza ya mashahidi wa Yehova inayofanywa asubuhi za Jumatano saa mbili. Pia watapokezana zamu kuketi kuongoza katika meza ya Betheli kila juma kulingana na herufi ya alfabeti ya jina la mwisho.

Sasa Baraza Inayoongoza ina washiriki kumi na wanane, wote wakiwa ni watiwa mafuta, na wale wengine kumi ni kama ifuatavyo: Frederick W. Franz, Raymond V. Franz, George D. Gangas, Leo K. Greenlees, John O. Groh, Milton G. Henschel, William K. Jackson, Nathan H. Knorr, Grant Suiter na Lyman A. Swingle.

Wana furaha kweli kuwa wakitumikia mashahidi wa Yehova ulimwenguni pote.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki