‘Njia Kama Boma la Miiba’
● Mithali 15:19 yataja njia ya mvivu kama “boma la miiba.” Huenda hiyo ikamaanisha kwamba yeye huwazia magumu na matatizo yaliyo kama miiba katika kila kazi anayotaka kufanya, na kwa sababu hiyo anajipa udhuru wa uvivu wake.