Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w79 5/1 uku. 7
  • ‘Wamewanda na Kung’aa’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • ‘Wamewanda na Kung’aa’
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
  • Habari Zinazolingana
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Mbona Mimi Ni Mnene Sana?
    Amkeni!—1994
  • Naweza Kupunguzaje Uzito?
    Amkeni!—1994
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
w79 5/1 uku. 7

‘Wamewanda na Kung’aa’

Yeremia 5:28 huwaeleza wale ambao hujitajilisha katika njia za uvunjaji wa sheria: “Wamewanda sana, wang’aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu.” Watu hao waovu walikuwa wamewanda (wamenona) katika maana ya kwamba walikuwa wamejilisha chakula cha kuwapa afya. Hivyo, ngozi yao haikuwa ikining’inia kana kwamba walikuwa wakifa njaa. Hapana, ilikuwa imejazwa kabisa na kuwa laini, ‘imeng’aa.’ Walakini utajiri wao ulikuwa wa kitambo tu. Yehova angetaka hesabu kwao.​—⁠Yer. 5:29.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki