Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp16 Na. 1 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Ni nini hutupata tunapokufa?
  • Je, wafu wataishi tena?
  • Inakuwaje Tunapokufa?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Ni Nini Hutokea Wakati wa Kifo?
    Wewe Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu!
  • Ni Nini Hutupata Tunapokufa?
    Amkeni!—2007
  • Swali la 2: Ni Nini Kitakachonipata Nitakapokufa?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
wp16 Na. 1 uku. 16
Ua waridi likiwa juu ya kaburi

BIBLIA INASEMA NINI?

Ni nini hutupata tunapokufa?

BAADHI YA WATU WANAAMINI kwamba tunaendelea kuwa hai tukiwa na mwili wa aina nyingine, na wengi wanahisi kwamba kifo ni mwisho wa kila kitu. Unaamini nini?

BIBLIA INASEMA HIVI:

“Wafu, hawajui lolote kamwe.” (Mhubiri 9:5) Uhai hukoma tunapokufa.

MAMBO MENGINE TUNAYOJIFUNZA KATIKA BIBLIA

  • Adamu, mwanaume wa kwanza, alirudi katika mavumbi alipokufa. (Mwanzo 2:7; 3:19) Vivyo hivyo, watu wote hurudi mavumbini wanapokufa.—Mhubiri 3:19, 20.

  • Mtu anapokufa, anaondolewa au husamehewa dhambi zake. (Waroma 6:7) Mtu akifa hapewi adhabu yoyote nyingine ili kulipia dhambi zake.

Je, wafu wataishi tena?

UNGEJIBUJE SWALI HILO?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Labda

BIBLIA INASEMA HIVI:

“Kutakuwa na ufufuo.” —Matendo 24:15.

NI NINI KINGINE TUNACHOJIFUNZA KATIKA BIBLIA?

  • Mara nyingi Biblia inafananisha kifo na usingizi. (Yohana 11:11-14) Mungu anaweza kumwamsha mtu aliyekufa kama vile tunavyoweza kumwamsha mtu aliyelala.—Ayubu 14:13-15.

  • Biblia ina masimulizi kadhaa ya ufufuo yanayotupatia uhakika wa kuamini kwamba wafu watafufuliwa.—1 Wafalme 17:17-24; Luka 7:11-17; Yohana 11:39-44.

Kwa habari zaidi, soma sura ya 6 ya kitabu hiki, Biblia inafundisha Nini Hasa?, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Pia kinapatikana kwenye www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki