Habari za Kitheokrasi
◆ Austria ilifikia kilele kipya cha wahubiri 17,949 katika Januari, ongezeko la asilimia 4 zaidi ya wastani wa mwaka uliopita.
◆ Barbados ilikuwa na kilele kipya cha wahubiri 1,656 katika Januari.
◆ Kilele kipya cha wahubiri 113,547 kiliripotiwa katika Uingereza wakati wa Januari, ongezeko la asilimia 5 zaidi ya wastani wa mwaka uliopita.
◆ Kolombia yaendelea kupata ongezeko zuri kwa vilele vipya vya wahubiri 39,022 na mapainia wa kawaida 3,069. Kulikuwa na kilele cha mafunzo ya Biblia 63,539 yaliyoongozwa.
◆ Mauritius ilikuwa na kilele kipya cha wahubiri 811 katika Januari.
◆ Trinidadi iliripoti kilele kipya cha wahubiri 5,324 katika Januari.
◆ Vanuatu iliripoti ongezeko la asilimia 21 katika Januari ikiwa na kilele kipya cha wahubiri 102.