Habari za Kitheokrasi
◆ Mashahidi wa Yehova walitambuliwa kisheria katika Polandi Mei 18 na katika Hangari Juni 27.
◆ Meksiko walikuwa na kilele chao cha 67 cha wahubiri, 274,599, ongezeko la asilimia 16. Pia walikuwa na kilele cha mafunzo ya Biblia 425,328.
◆ Switzerland ilikuwa na kilele kipya cha wahubiri 15,897 katika Mei.
◆ Zambia ilikuwa na kilele kipya cha wahubiri 70,700 katika Mei, ongezeko la asilimia 9. Mafunzo ya Biblia yaliongezeka kufikia 97,734.
◆ Zimbabwe ilikuwa na kilele kipya cha wahubiri 17,068 katika Aprili, ongezeko la asilimia 9. Mafunzo ya Biblia yalipanda juu kufikia 19,622, na kulikuwa na vilele vipya katika saa, magazeti, na ziara za kurudia pia.