Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 4/00 uku. 7
  • Sanduku la Swali

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sanduku la Swali
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2000
  • Habari Zinazolingana
  • “Haki ya Kimungu” Mkusanyiko wa Wilaya wa 1988
    Huduma Yetu ya Ufalme—1988
  • Je, Napaswa Kuchukua Kadi ya Mkopo?
    Amkeni!—1999
  • Kadi za Mkopo—Je, Zitakutumikia au Zitakutumikisha?
    Amkeni!—1996
  • Nufaika Kabisa Kwa “Ufundishaji wa Kimungu” Mkusanyiko wa Wilaya wa 1993
    Huduma Yetu ya Ufalme—1993
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2000
km 4/00 uku. 7

Sanduku la Swali

◼ Ni nani anayepaswa kupata beji ya mkusanyiko wa wilaya?

Beji za mkusanyiko zaweza kusaidia sana kutambulisha ndugu zetu na kutangaza mkusanyiko. Hata hivyo, hazipaswi kugawanywa bila mpango. Hizo humtambulisha mvaaji kuwa mwenye msimamo mzuri akishirikiana na kutaniko hususa la Mashahidi wa Yehova.

Beji hiyo ina mahali pa kuandika jina la mtu huyo na pia kutaniko. Kwa hiyo, lazima mtu huyo awe anashirikishwa kwa kiasi fulani na kutaniko hilo. Sosaiti hutuma beji nyingi kwa kila kutaniko. Ingefaa kumpa beji kila mhubiri aliyebatizwa na asiyebatizwa. Pia, watoto na watu wengine ambao huhudhuria mikutano ya kutaniko kwa ukawaida na wanaofanya maendeleo kuelekea kushiriki huduma ya shambani wanaweza kupokea moja. Haingefaa kumpa mtu aliyetengwa na ushirika beji ya mkusanyiko.

Beji zipatikanapo, wazee wapaswa kuhakikisha kwamba zinagawanywa kupatana na miongozo hii.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki