Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 1/03 uku. 3
  • Madokezo ya Kutoa Kitabu Mkaribie Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Madokezo ya Kutoa Kitabu Mkaribie Yehova
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2003
  • Habari Zinazolingana
  • Habari Unazoweza Kutumia Katika Utumishi wa Shambani
    Huduma ya Ufalme—2005
  • Majibu ya Maswali ya Biblia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Faidika kwa Kujifunza Kitabu Mkaribie Yehova
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
  • Mungu Ni Nani?
    Habari Njema Kutoka kwa Mungu!
Pata Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2003
km 1/03 uku. 3

Madokezo ya Kutoa Kitabu Mkaribie Yehova

◼ Ukiwa na Biblia mkononi, sema: “Watu wengi ambao humwamini Mungu wangependa kumkaribia. Je, ulijua kwamba Mungu anatualika tumkaribie? [Soma Yakobo 4:8.] Kichapo hiki kimekusudiwa kuwasaidia watu watumie Biblia yao wenyewe kumkaribia Mungu.” Soma fungu la 1 kwenye ukurasa wa 16.

◼ Ukiwa na Biblia mkononi, sema: “Leo ukosefu wa haki umezidi. Ni kama tu inavyofafanuliwa hapa. [Soma Mhubiri 8:9b.] Watu wengi wanajiuliza kama kweli Mungu anajali. [Soma sentensi mbili za kwanza za fungu la 4 kwenye ukurasa wa 119.] Sura hii yaelezea ni kwa nini Mungu ameruhusu ukosefu wa haki kwa muda fulani.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki