Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 5/05 kur. 3-6
  • Panga Ratiba Inayofaa ya Familia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Panga Ratiba Inayofaa ya Familia
  • Huduma ya Ufalme—2005
  • Habari Zinazolingana
  • Ratiba ya Familia—Andiko la Siku
    Huduma ya Ufalme—2005
  • Chakula cha Kiroho cha Kila Siku —Cha Lazima kwa Familia ya Kikristo
    Huduma Yetu ya Ufalme—1992
  • Jenga Maisha Yako Katika Msingi wa Utumishi wa Yehova
    Huduma Yetu ya Ufalme—1998
  • Jinsi Ambavyo Washiriki wa Familia Hushirikiana Kikamili—Katika Funzo la Biblia
    Huduma Yetu ya Ufalme—1999
Pata Habari Zaidi
Huduma ya Ufalme—2005
km 5/05 kur. 3-6

Panga Ratiba Inayofaa ya Familia

1 Katika Mahubiri ya Mlimani, Yesu aliwahimiza hivi wasikilizaji wake: “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake.” (Mt. 6:33) Njia inayofaa ya kupanga shughuli za familia ili mambo ya kiroho yatangulizwe, ni kuwa na ratiba iliyoandikwa. Tumieni dakika chache kupanga ratiba ya kila juma ya familia mkitumia ratiba ambayo haijajazwa, iliyo katika ukurasa wa 6 wa nyongeza hii. Mnaweza kuandika shughuli za familia yenu kwenye ratiba hiyo, au kukata visehemu vilivyo chini ya ratiba iliyo katika ukurasa wa 6 na kuvibandika kwenye ratiba ya familia yenu.

2 Ratiba iliyo hapa chini inaweza kuwasaidia kupanga ratiba yenu. Mtaona kwamba inahusisha mambo manne tu yaliyo muhimu: (1) kuhudhuria mikutano ya kutaniko, (2) huduma ya shambani ya familia, (3) funzo la familia, na (4) kuchunguza andiko la siku. Kupanga mambo hayo katika ratiba yenu kutawasaidia “kuhakikisha mambo yaliyo ya maana zaidi.” (Flp. 1:10) Mapendekezo zaidi kuhusu mambo hayo manne yamo katika ukurasa wa 4-5.

3 Ratiba yenu ya familia haihitaji kuhusisha mambo hayo manne tu. Ikiwa ninyi hutayarisha mikutano fulani mkiwa pamoja, mnaweza kuandika jambo hilo katika ratiba yenu. Iwapo mnasoma sehemu fulani ya Biblia mkiwa pamoja baada ya kuchunguza andiko la siku au katika pindi nyingine, andikeni jambo hilo katika ratiba. Ikiwa ninyi huwa na tafrija fulani huenda mkaona kuwa inafaa kuandika jambo hilo katika ratiba yenu.

4 Pangeni ratiba ya familia kupatana na mahitaji na hali za kila mmoja katika familia yenu. Mara kwa mara, chunguzeni ikiwa ratiba yenu bado inafaa hali zenu, na mfanye marekebisho yoyote yanayohitajika.

[Chati katika ukurasa wa 3]

Ratiba ya Mfano ya Familia

Asubuhi Alasiri Jioni

J2. Andiko la Siku

Hotuba ya Watu Wote na

Funzo la Mnara wa Mlinzi

J3. Andiko la Siku Funzo la Familia

J4. Andiko la Siku Funzo la Kitabu

la Kutaniko

J5. Andiko la Siku

Al. Andiko la Siku Shule ya Huduma

ya Kitheokrasi

na Mkutano

wa Utumishi

Ij. Andiko la Siku

J1. Andiko la Siku

Huduma ya Shambani

ya Familia

(Siku ya Magazeti)

[Chati katika ukurasa wa 6]

Ratiba ya Familia

Asubuhi Alasiri Jioni

J2.

J3.

J4.

J5.

Al.

Ij.

J1.

..................................................................

Andiko Andiko Andiko Andiko Andiko Andiko Andiko

la Siku la Siku la Siku la Siku la Siku la Siku la Siku

Hotuba Shule ya Funzo Funzo Huduma Usomaji Tafrija

ya watu Huduma la kitabu la Fami- ya Sha- wa Biblia ya

wote na ya Kith- la Kuta- lia mbani wa Familia Familia

Funzo la eokrasi niko ya Familia

Mnara wa na Mku-

Mlinzi tano wa

Utumishi

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki