Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 12/13 uku. 7
  • Wasaidie “Waimarishwe Katika Imani”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wasaidie “Waimarishwe Katika Imani”
  • Huduma ya Ufalme—2013
  • Habari Zinazolingana
  • Sanduku La Swali
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Jinsi ya Kumsaidia Mwanafunzi wa Biblia Afikie Hatua ya Ubatizo—Sehemu ya Pili
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2020
  • Wasaidie Wanafunzi Wako wa Biblia Wafikie Ubatizo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • Jinsi ya Kumsaidia Mwanafunzi wa Biblia Afikie Hatua ya Ubatizo—Sehemu ya Kwanza
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2020
Pata Habari Zaidi
Huduma ya Ufalme—2013
km 12/13 uku. 7

Wasaidie “Waimarishwe Katika Imani”

Inapendeza kuona jinsi Yehova anavyobariki kazi ya kukusanywa kwa watu wake hivi kwamba zaidi ya watu robo milioni hubatizwa kila mwaka. (Kum. 28:2) Punde tu mhubiri anapomsaidia mwanafunzi kufikia ubatizo, huenda mwelekeo ukawa ni kuacha kujifunza naye na kukazia fikira kuwasaidia wengine. Mwanafunzi pia anaweza kuwa na mwelekeo wa kuacha kujifunza ili atumie muda wake mwingi katika utumishi. Hata hivyo, ni muhimu wanafunzi wa Biblia wawe na msingi mzuri katika kweli. Wanapaswa ‘kutia mizizi’ katika Kristo na “kuimarishwa katika imani.” (Kol. 2:6, 7; 2 Tim. 3:12) Kwa hiyo, baada ya mwanafunzi kubatizwa, anapaswa kuendelea na funzo lake la Biblia mpaka amalize vitabu vyote viwili yaani Biblia Inafundisha na “Upendo wa Mungu”.—Ona Huduma ya Ufalme ya Aprili 2011 ukurasa wa 2.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki