Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Januari uku. 5
  • Yehova Hutimiza Ahadi Zake

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Hutimiza Ahadi Zake
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Habari Zinazolingana
  • Jinsi ya Kutafuta Maandiko Katika Biblia Yako
    Habari Zaidi
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ezra
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • Funzo Namba 3—Kupima Matukio Katika Mkondo wa Wakati
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Mfululizo wa Matukio
    Biblia—Ina Ujumbe Gani?
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
mwb16 Januari uku. 5

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZRA 1-5

Yehova Hutimiza Ahadi Zake

Makala Iliyochapishwa
Waisraeli wajenga upya hekalu Yerusalemu

Yehova aliahidi kurudishwa kwa ibada ya kweli katika hekalu lililokuwa Yerusalemu. Lakini baada ya wale waliotekwa kurudi kutoka Babiloni, kulikuwa na vikwazo vingi, ambavyo vilitia ndani sheria ya mfalme ya kusitisha ujenzi. Wengi walihofia kwamba kazi haingemalizika kamwe.

  1. m. 537 K.W.K.

    Koreshi alitoa amri kwamba hekalu lijengwe upya

  2. 3:3

    Mwezi wa saba

    Madhabahu yajengwa; dhabihu zatolewa

  3. 3:10, 11

    536 K.W.K.

    Msingi wajengwa

  4. 4:23, 24

    522 K.W.K.

    Mfalme Artashasta alisitisha ujenzi

  5. 5:1, 2

    520 K.W.K.

    Zekaria na Hagai waliwatia watu moyo waendelee na ujenzi

  6. 6:15

    515 K.W.K.

    Ujenzi wa Hekalu unakamilishwa

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki