HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 69-73
Watu wa Yehova Ni Wenye Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli
Bidii yetu kwa ajili ya ibada ya kweli inapaswa kuonekana waziwazi
Daudi alikuwa na bidii kwa ajili ya Yehova katika maisha yake yote
Daudi hakuvumilia ushindani wowote au lawama kwa jina la Yehova
Wenye umri mkubwa wanaweza kuwasaidia vijana kuwa wenye bidii
wandikaji wa Zaburi hiyo, ambaye huenda ni Daudi, alikuwa na tamaa ya kutia moyo kizazi kilichofuata
Wazazi na Wakristo wenye uzoefu wanaweza kuwazoeza vijana
Bidii yetu inatuchochea kuwaeleza wengine yale ambayo Ufalme utawafanyia wanadamu
Mstari wa 3—Kutakuwa na amani kwa wote
Mstari wa 12—Maskini watakombolewa
Mstari wa 14—Jeuri haitakuwapo
Mstari wa 16—Kutakuwa na wingi wa chakula kwa kila mtu