HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 22-24
Je, Una “Moyo wa Kumjua” Yehova?
Yehova aliwalinganisha watu na tini
Wayahudi waaminifu waliokuwa uhamishoni Babiloni walifananishwa na tini nzuri
Mfalme Sedekia ambaye hakuwa mwaminifu na wengine waliofanya mambo mabaya walifananishwa na tini mbaya
Tunaweza kusitawishaje “moyo wa kumjua” Yehova?
Yehova atatupa “moyo wa kumjua” ikiwa tutajifunza Neno lake na kufuata mambo tunayojifunza
Tunapaswa kuchunguza moyo wetu kwa unyoofu na kuondoa mitazamo na tamaa zinazoharibu uhusiano wetu na Yehova