Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Aprili uku. 4
  • Je, Una “Moyo wa Kumjua” Yehova?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Una “Moyo wa Kumjua” Yehova?
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Matunda—Mazuri na Mabaya
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
  • Je, Una ‘Moyo Wa Kumjua’ Yehova?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • “Tini” Zinazofurahisha Hata Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Kila Mtu Ataketi Chini ya Mtini Wake
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Aprili uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 22-24

Je, Una “Moyo wa Kumjua” Yehova?

Kikapu cha tini nzuri na kikapu cha tini mbaya

Yehova aliwalinganisha watu na tini

24:5

  • Wayahudi waaminifu waliokuwa uhamishoni Babiloni walifananishwa na tini nzuri

24:8

  • Mfalme Sedekia ambaye hakuwa mwaminifu na wengine waliofanya mambo mabaya walifananishwa na tini mbaya

Tunaweza kusitawishaje “moyo wa kumjua” Yehova?

24:7

  • Yehova atatupa “moyo wa kumjua” ikiwa tutajifunza Neno lake na kufuata mambo tunayojifunza

  • Tunapaswa kuchunguza moyo wetu kwa unyoofu na kuondoa mitazamo na tamaa zinazoharibu uhusiano wetu na Yehova

Jiulize: Je, nina “moyo wa kumjua” Yehova? Ninaweza kuusitawisha jinsi gani?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki