Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mei uku. 3
  • Ebed-meleki​—Mfano wa Ujasiri na Fadhili

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ebed-meleki​—Mfano wa Ujasiri na Fadhili
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Mthawabishaji wa Wote Wanaomtumikia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Mtumikie “Mfalme wa Mataifa” Ukaokoke
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Utachagua Marafiki wa Aina Gani?
    Mungu Asema Nasi Kupitia Yeremia
  • Yehova Atamlipa Kila Mmoja Kulingana na Kazi Yake
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Mei uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YEREMIA 35-38

Ebed-meleki​—Mfano wa Ujasiri na Fadhili

Ebed-meleki, ofisa katika makao ya Mfalme Sedekia, alionyesha sifa zinazompendeza Mungu

38:7-13

  • Ebed-meleki akiongea na Mfalme Sedekia

    Alichukua hatua na kutenda kwa ujasiri kwa kwenda kuzungumza na Mfalme Sedekia kwa niaba ya Yeremia na kisha kumwokoa Yeremia kutoka katika tangi la maji

  • Alionyesha fadhili kwa kumpa Yeremia vitambaa laini na vipande vya nguo ili kamba zisichubue makwapa yake

    Yeremia akitolewa kwenye tangi la maji
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki