HAZINA ZA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 15-17
Je, Unatimiza Ahadi Zako?
Ni kiapo gani ambacho Mfalme Sedekia alivunja?
Alipata matokeo gani kwa kuvunja kiapo chake?
Mimi nimetoa ahadi zipi na nimefanya makubaliano gani?
Ninaweza kupata matokeo gani kwa kuvunja ahadi au makubaliano yangu?