Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Agosti uku. 4
  • Sitawisha Sifa Zinazompendeza Mungu​—Ujasiri

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sitawisha Sifa Zinazompendeza Mungu​—Ujasiri
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Kuwa Jasiri Si Vigumu Sana
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • “Uwe Hodari . . . Nawe Utende”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Mwe Wenye Moyo Mkuu!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1993
  • Nipe Ujasiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Agosti uku. 4

MAISHA YA MKRISTO

Sitawisha Sifa Zinazompendeza Mungu​—Ujasiri

KWA NINI NI MUHIMU:

  • Ujasiri unahitajika ili kuhubiri.​—Mdo 5:​27-​29, 41, 42

  • Ujasiri wetu utajaribiwa wakati wa dhiki kuu.​—Mt 24:15-21

  • Kuwaogopa wanadamu huongoza kwenye msiba.​—Yer 38:17-20; 39:4-7

JINSI YA KUFANYA HIVYO:

  • Tafakari kuhusu matendo ya wokovu ya Yehova.​—Kut 14:13

  • Sali upate ujasiri na uhodari. ​—Mdo 4:​29, 31

  • Mtegemee Yehova.​—Zb 118:6

Ndugu wawili wakijaribu kumtia moyo mwenzao ajiunge nao katika mahubiri ya hadharani

Ninahitaji kushinda mambo gani yanayonitia hofu katika huduma yangu?

TAZAMENI VIDEO EPUKA MAMBO YANAYOHARIBU USHIKAMANIFU​—KUWAHOFU WANADAMU, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Kwa nini ujasiri ni muhimu katika huduma yetu?

  • Ni mambo gani mawili yanayotofautishwa kwenye Methali 29:25?

  • Kwa nini tunapaswa kusitawisha ujasiri sasa?

TAFAKARI MFANO HUU WA BIBLIA:

Ezekieli aliambiwa kwamba kazi yake akiwa nabii ingekuwa ngumu.​—Eze 2:3-7; 33:7-9.

Jiulize, ‘Ninaweza kuigaje ujasiri wa Ezekieli?’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki