MAISHA YA MKRISTO
Sitawisha Sifa Zinazompendeza Mungu—Ujasiri
KWA NINI NI MUHIMU:
Ujasiri unahitajika ili kuhubiri.—Mdo 5:27-29, 41, 42
Ujasiri wetu utajaribiwa wakati wa dhiki kuu.—Mt 24:15-21
Kuwaogopa wanadamu huongoza kwenye msiba.—Yer 38:17-20; 39:4-7
JINSI YA KUFANYA HIVYO:
Tafakari kuhusu matendo ya wokovu ya Yehova.—Kut 14:13
Sali upate ujasiri na uhodari. —Mdo 4:29, 31
Mtegemee Yehova.—Zb 118:6
Ninahitaji kushinda mambo gani yanayonitia hofu katika huduma yangu?
TAZAMENI VIDEO EPUKA MAMBO YANAYOHARIBU USHIKAMANIFU—KUWAHOFU WANADAMU, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:
Kwa nini ujasiri ni muhimu katika huduma yetu?
Ni mambo gani mawili yanayotofautishwa kwenye Methali 29:25?
Kwa nini tunapaswa kusitawisha ujasiri sasa?