Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Oktoba uku. 4
  • Yehova Alitabiri Wakati Ujao wa Wafalme

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Alitabiri Wakati Ujao wa Wafalme
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Ugiriki—Ile Serikali Kubwa ya Tano ya Ulimwengu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
  • Wafalme Wawili Wapambana
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
  • Ni Nani Atakayeutawala Ulimwengu?
    Sikiliza Unabii wa Danieli!
  • Kitabu Kinachotegemeka—Sehemu ya 5
    Amkeni!—2011
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Oktoba uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | DANIELI 10-​12

Yehova Alitabiri Wakati Ujao wa Wafalme

11:2

Wafalme wanne wangesimama kwa ajili ya Uajemi. Na mfalme wa nne angechochea “kila kitu kupigana na ufalme wa Ugiriki.”

  1. Koreshi Mkuu

  2. Cambyses wa Pili

  3. Dario wa Kwanza

  4. Shasta wa Kwanza (inaaminiwa alikuwa Mfalme Ahasuero ambaye alimwoa Esta)

11:3

Mfalme mwenye nguvu wa Ugiriki angesimama na kutawala milki kubwa sana.

  • Aleksanda Mkuu

11:4

Milki ya Ugiriki ingegawanywa na kutawaliwa na majenerali wanne wa Aleksanda.

  1. Kasanda

  2. Lisimako

  3. Seleuko wa Kwanza

  4. Ptolemy wa Kwanza

Milki ya Ugiriki ikiwa imegawanywa kati ya majenerali wanne wa Aleksanda
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki