Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Novemba uku. 6
  • Endelea Kuwa Macho Kiroho na Mwenye Bidii

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Endelea Kuwa Macho Kiroho na Mwenye Bidii
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Waovu Wataendelea Hata Lini?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Kitabu Cha Biblia Namba 35—Habakuki
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Mtumaini Yehova Uishi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
  • Wachukueni Manabii Kuwa Kielelezo—Habakuki
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Novemba uku. 6

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | NAHUMU 1–HABAKUKI 3

Endelea Kuwa Macho Kiroho na Mwenye Bidii

Hab 1:5, 6

Huenda haikuonekana kama Wababiloni wangeweza kuiharibu Yuda. Taifa la Yuda lilikuwa chini ya uvutano wenye nguvu wa Misri na haikuonekana kama Wakaldayo walikuwa na nguvu kuliko Misri. Isitoshe, kwa Wayahudi wengi, lilikuwa jambo lisiloweza kuwaziwa kwamba Yehova angeruhusu Yerusalemu na hekalu lake kuharibiwa. Hata hivyo, unabii ungetimia na Habakuki alihitaji kuutarajia kwa kuendelea kuwa macho kiroho na mwenye bidii.

Nabii Habakuki anaendelea kukaa macho akiwa amezungukwa na uovu

Ni nini kinachonihakikishia kwamba mwisho wa mfumo huu wa mambo uko karibu sana?

Ninaweza kufanya nini ili niendelee kuwa macho kiroho na mwenye bidii?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki