HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZEKARIA 9-14
Kaa Katika “Bonde la Milima”
Yehova alitokeza “bonde kubwa sana” katika mwaka wa 1914 aliposimamisha Ufalme wa Kimasihi. Ufalme huo ni “mlima” mdogo unapolinganishwa na enzi yake kuu. Tangu mwaka wa 1919, watumishi wa Mungu wamepata usalama katika “bonde la milima”
Watu ‘wanakimbiliaje bonde’ hilo la ulinzi?
Yeyote aliye nje ya bonde hilo ataharibiwa wakati wa Har–Magedoni
Nifanye nini ili nikae katika bonde hilo la ulinzi?