HAZINA ZA NENO LA MUNGU | LUKA 23-24
Uwe Tayari Kuwasamehe Wengine
Mimi ninapaswa kumsamehe nani?
‘Kuwa tayari kusamehe’ kunamaanisha nini? (Zb 86:5) Yehova na Mwana wake huchunguza kuona ikiwa kuna badiliko lolote moyoni ambalo litawapa msingi wa kuwaonyesha rehema wanadamu wenye dhambi.