HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATENDO 19-20
“Jiangalieni Wenyewe na Kundi Lote”
Wazee hulisha, kulinda, na kutunza kundi lote, wakikumbuka kwamba kila kondoo alinunuliwa kwa damu yenye thamani ya Kristo. Wakristo huthamini sana na kuwapenda wale ambao, kama Paulo, wanajitoa bila ubinafsi kwa ajili ya kundi lote.