Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mei uku. 3
  • Huduma Yetu ya Kutoa Msaada

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Huduma Yetu ya Kutoa Msaada
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Habari Zinazolingana
  • Kazi ya Kutoa Msaada
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Je, Utatumikia Ukiwa Painia Msaidizi Mwezi wa Machi na Aprili?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Mei uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 2 WAKORINTHO 7-10

Huduma Yetu ya Kutoa Msaada

8:1-4; 9:7

Wakristo wamepewa huduma inayohusisha mambo mawili —“huduma ya upatanisho,” yaani, kazi yetu ya kuhubiri na kufundisha, na “huduma ya kutoa msaada” kwa ajili ya waabudu wenzetu. (2Ko 5:18-20; 8:4) Hivyo, kuwasaidia Wakristo wenye uhitaji ni sehemu ya utumishi wetu mtakatifu. Kwa kushiriki huduma hiyo,

  • tunawaandalia ndugu na dada zetu mahitaji yao.—2Ko 9:12a

  • tunawasaidia walioathiriwa kurudia ratiba nzuri ya mambo ya kiroho ambayo inatia ndani kushiriki kwa bidii katika kazi ya kuhubiri, jambo linaloonyesha kwamba wanathamini ukarimu huo wa Yehova.—2Ko 9:12b

  • tunamletea Yehova utukufu. (2Ko 9:13) Kazi ya kutoa msaada inawatolea wote ushahidi, kutia ndani wale walio na maoni mabaya kuhusu Mashahidi wa Yehova

Familia katika nyakati za Biblia ikitoa mchango; dada akiwatazama ndugu wa Halmashauri ya Kutoa Misaada wakirekebisha nyumba yake
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki