HAZINA ZA NENO LA MUNGU | WAEBRANIA 9-10
“Kivuli cha Mambo Mema Yatakayokuja”
Hema la ibada lilionyesha mapema mpango ambao Mungu alianzisha kwa ajili ya kufunika dhambi za wanadamu kupitia fidia. Patanisha mambo manne yafuatayo ya hema la ibada na kile kinachowakilishwa na mambo hayo.
|
|