Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Oktoba uku. 2
  • Onyesha Hekima Kutoka kwa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Onyesha Hekima Kutoka kwa Mungu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Habari Zinazolingana
  • Je, “Hekima ya Kutoka Juu” Inakuongoza Maishani?
    Mkaribie Yehova
  • “Ni Nani Aliye na Hekima na Mwenye Uelewaji Kati Yenu?”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Mwenye Hekima Alikuwa na Maana Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1978
  • Programu Mpya ya Kusanyiko la Mzunguko
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Oktoba uku. 2
Dada akitafakari kile ambacho amesoma katika Biblia, akifikiria pindi alipobishana na dada mwenzake, kisha anaenda kufanya amani na dada huyo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YAKOBO 3-5

Onyesha Hekima Kutoka kwa Mungu

3:17

Hekima ya Yehova inaweza kutumika katika hali zote. Kwa mfano, inaweza kutusaidia kufanya amani na waabudu wenzetu. Ikiwa tumesitawisha hekima kutoka kwa Mungu, itaonekana wazi katika matendo yetu.

JIULIZE HIVI: ‘Nimeonyesha sifa zipi hivi karibuni kati ya sifa zifuatazo za hekima kutoka kwa Mungu? Ninaweza kufanya nini ili kuonyesha sifa hizo kwa njia nzuri zaidi?’

  • Safi

  • Kufanya amani

  • Usawaziko

  • Tayari kutii

  • Kujaa rehema na matunda mema

  • Kutokuwa na ubaguzi

  • Kutokuwa na unafiki

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki